Ni lini ulisha mzoea... ??Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema freeman aikael mbowe si yule mbowe tuliomzoea,
mbowe amepoteza kujiamini,inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya mbowe chadema kushika dola,
mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa lowassa kiasi kwamba hata kama lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
ujio wa nyalandu bado nafsi inamsuta,mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama,
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya magufuli ni dikteta,mpaka leo hii mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu,kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa,anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki,
haki gani asiyo kuwa nayo mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya,
Nafkiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru,
Kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru,punda haendi bila viboko!
Kampeni za nini ili hali madiwani washanunuliwa na ccm,
Sema lini hakikumshindaMbowe chama kimemshinda usaliti aliowafanyia CHADEMA wa kukubali kuhongwa na Lowasa bilioni 10 hawatamsamehe
Uhuru gani unaousema? Wa kuingiza siasa wakati wa kutoa 'kamisheni' kwa wanajeshi? Pole sana.Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!
Taja nwenye kesi hata moja pale law school of tanzania USIROPOKE tu nyambusa wew.Atatoa wapi ujasiri wakati kageuza chama kuwa "safe haven" ya mafisadi? Shame
Mpuuzi wewe, akina Cecil Mwambe, Ester wote wawili, Heche, Lema, Msigwa, Lijua Likali etc wamekamatwa kwenye majimbo yao wakifanya mikutano na wapiga kura wao. Hapo utasemaje bwege wewe.Kila mbunge yupo huru kufanya mkutano jimboni kwake,ongea na wapiga kura wako ujue matatizo yao jimboni kwa mwenzako unatafuta nini!
Hata kama ni kulipwa, Polepole hawezi kuidhinisha malipo katika upuuzi kama huu!Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema freeman aikael mbowe si yule mbowe tuliomzoea,
mbowe amepoteza kujiamini,inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya mbowe chadema kushika dola,
mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa lowassa kiasi kwamba hata kama lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
ujio wa nyalandu bado nafsi inamsuta,mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama,
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya magufuli ni dikteta,mpaka leo hii mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu,kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa,anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki,
haki gani asiyo kuwa nayo mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya,
Nafkiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru,
Kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru,punda haendi bila viboko!
Kampeni za nini ili hali madiwani washanunuliwa na ccm,
Mbona nyinyi wenye matumaini hamjiamini na mtu aliyepoteza matumaini.mmepoteza matumaini kabisa!
Sasa smg za kazi gani?mmepoteza matumaini kabisa!
Kwa alivyochemsha Uganda, yabidi akashauriane kwanza na akina DAB Malyamungu, Afande Zero kupanga cha kufanya ili pia kupambana na hitaji la wananchi la katiba mpya.Mpaka muda yupo kwake na hajakamatwa halafu mnaongopewa nchi inaongozwa kidikteta!
Kwahiyo mlivyokuwa mnawaita mafisadi kipindikile walikuwa na kesi yoyote? Empty brains!Taja nwenye kesi hata moja pale law school of tanzania USIROPOKE tu nyambusa wew.
Sera zipi? Kukanyaga haki za binadamu?Sema nashangaa kwanini kamanda siro anawaruhusu hawa wahuni kufanya kampeni za kihuni kutukana serikali badala ya kujenga hoja za maendeleo, kwa nini wasichambue sera zao? Mbona CCM tunajinadi kwa sera wao kwa nini utasikia eti serikali inatuminya uhuru?? Mbona ndani ya hilo li chama mfu lake mbowe mtu akisema Mbowe dikiteta anafukuzwa uanachama
Hivi "Safe haven" itakuwa ni aina mpya ya friji au?Atatoa wapi ujasiri wakati kageuza chama kuwa "safe haven" ya mafisadi? Shame
za kulindia benki!Sasa smg za kazi gani?
Jemedari ameshaloose confidence, kichobaki yeye na kikosi chake wanasubiri kuwa mateka.Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,
Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.
Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.
Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Empty kuliko wewe, no one shalll be condemed guilt until proved by compitent court. We ropo ropo unajua hilo..Kwahiyo mlivyokuwa mnawaita mafisadi kipindikile walikuwa na kesi yoyote? Empty brains!
Muulize kwanza Dr wa utomvu wa korosho maana uko jirani naye, huyu anajua vizuri wanaopotea kama Saanane wanapelekwa wapi.Jitahidi umuhoji mbowe alipo ben saanane!
jitoe ufahamu utaelewa tu!Tulia uandike.
Hueleweki