Mbowe rudisha hela zetu

Mbowe rudisha hela zetu

Mtafi

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
235
Reaction score
64
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
 
Kama hujui kile chama ni cha ukoo,mbowe ni mkwe wa mtei!So jamaa ndani ya chama anauwezo wa kufanya lolote analoamua na hakuna anaempiga,ukinyanyua tu mdomo,unatolewa ndani ya chama
 
Kama hujui kile chama ni cha ukoo,mbowe ni mkwe wa mtei!So jamaa ndani ya chama anauwezo wa kufanya lolote analoamua na hakuna anaempiga,ukinyanyua tu mdomo,unatolewa ndani ya chama
Makamanda tumepigwa hapa chali
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Hapa Mbowe katupiga mbaya, sizani kama Mtei atasema arudishe
 
Zito alijifanya kuhojihoji vitu kaka,angalia leo alipo!!Waliobaki ndani ya chama ni mamburura na ndio maana waliambia wasiongee ishu za ufisadi na wakakaa kimya hadi leo!!
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

Mbowe na elimu yake ya form six anatudhulumu sisi wenye elimu zetu, afadhali adhulumu bodaboda hadi sisi?
 
Viongozi wa CDM ni kama madhehebu ya dini. Huwezi kutilia shaka matendo yao.
 
Kama hujui kile chama ni cha ukoo,mbowe ni mkwe wa mtei!So jamaa ndani ya chama anauwezo wa kufanya lolote analoamua na hakuna anaempiga,ukinyanyua tu mdomo,unatolewa ndani ya chama

Jamaa unautumia huu mwanya wa vijana kudai wameichoka ccm vizuri saana aisee! na hakuna wa kuhoji! ukihoji msaliti mpinga mabadiliko! alianza kidogo kidogo,
1.Ondoa Chacha wangwe
2.Ondoa zito na wenzake.
3.Honga cuf nafasi za uwaziri kivuli bungeni kuunda ukawa
4.Kusanya michango kwa M4C bila kuhojiwa
5.Uza chadema
6.Ondoa Dr Slaa
7........
8........
Na sasa anaendelea kula bata tu kwa kivuli cha vijana eti wameichoka ccm, mpaka waje kustuka kwamba wanatumika kwa maslahi ya wachache itakuwa too late!
 
Subirini tu mafuta lita 3 mwende kwenye kampeni mkajaze uwanja
 
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka

CCM mnapambana na nguvu msiyoijua sisi yetu macho.
 
Mbowe kweli mfanya biashara kauza chama sahv michago duu.anatumaliza
 
Back
Top Bottom