Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,429
Watavuna wanachopandaClouds ni genge la matapeli
Watavuna wanachopandaClouds ni genge la matapeli
Wameshaanza kuvunaWatavuna wanachopanda
Vipi tena mbona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe,Mwamba Sabaya
Dogo yupo vizuri sana kwa kuwanyosha wafanyabiashara makanjanja
Kuhesabika! Kivipi?Vipi tena mbona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe,
siku zako zinahesabika.
Eid mubaraka shekhe..! Unaswali lingine Sabaya😂😂😂Kuhesabika! Kivipi?
Eti nasikia Sabaya ni TISS.Hili ni jambazi!
Ni hayawani kabisa!
Ni limbukeni kabisa!
Hivi kwanini 'msimtafutie' wahuni wamalizane nae?
Mwamba Sabaya
Dogo yupo vizuri sana kwa kuwanyosha wafanyabiashara makanjanja
Ndivyo inavyokuaga kwa WATU WA aina yake.Halafu anaona anaonewa
Mwamba Sabaya
Dogo yupo vizuri sana kwa kuwanyosha wafanyabiashara makanjanja
Kitambulisho chake hiki hapaEti nasikia Sabaya ni TISS.
Aisee Hii nchi ngumu sana
Au Kuna aina nyingi za TISS.
TISS Nyerere,
TISS Mwinyi,
TISS Mkapa,
TISS Kikwete,
na hatimae ikaja hii TISS yenye rekodi ya aina ya kipekee,TISS Chattle,yenye WATU aina ya Akina Sabaya.
Daah, kama kiongozi wa Chechnya vile.Ndo DC uyubongo futuhi sanaView attachment 1615054
Chawa akuangalia keshoUeu
Ok wajinga kama wewe Bado mpo aisee,
Kwa huyo huyo mtu wako alikua polisi yeye,
Mahakama ya biashara yeye,
TRA yeye,
Magereza yeye,
TISS yeye,
Jambazi yeye,
Baunsa yeye,
Na wewe unamsifia,aisee.
Mapito tu atasimamaMkuu unaendelea kumsaidia kuwanyoosha si ndio?
Sawa J MukyaUeu
Ok wajinga kama wewe Bado mpo aisee,
Kwa huyo huyo mtu wako alikua polisi yeye,
Mahakama ya biashara yeye,
TRA yeye,
Magereza yeye,
TISS yeye,
Jambazi yeye,
Baunsa yeye,
Na wewe unamsifia,aisee.
Minalfaidhina sheikhEid mubaraka shekhe..! Unaswali lingine Sabaya😂😂😂