mkuu ungeweka na supportive document, otherwise itakuwa ni porojoImezoeleka na kuambiwa Mbowe alizalliwa Moshi Machame 09.12.1961
Nilijua ni mimi tu kumbe na we umeona... last year tuliambiwa kazaliwa siku ya uhuru then leo tunaona mapicha pichaLeo ni birthday ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Aikael Mbowe.
Imezoeleka na kuambiwa Mbowe alizalliwa Moshi Machame 09.12.1961
Leo naona watu wanamtakia heri ya kuzaliwa.
Tuondoleeni huu utata
Labda anafikiri kusheherekea birthday siku ya Uhuru ni KUUNGA JUHUDI za serikali ya awamu ya 5.
Asee, hii siku ya ushuru ni ya nchi gani????Sure last year niliona tarehe 9 siku ya ushuru ndo kazaliwa sasa leo nashangaa kuwa hivi
According to Yerico tarehe 09 Dec ni ubatizo wake... ila kuzaliwa ni Sept 14.Leo ni birthday ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Aikael Mbowe.
Imezoeleka na kuambiwa Mbowe alizalliwa Moshi Machame 09.12.1961
Leo naona watu wanamtakia heri ya kuzaliwa.
Tuondoleeni huu utata
Miaka mingi nilijua alizaliwa siku y uhuru tena kuna makala nilisoma kwenye gazeti alikuwa akielezewa. Kumbe yaweza kuwa si kweliLeo ni birthday ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Aikael Mbowe.
Imezoeleka na kuambiwa Mbowe alizalliwa Moshi Machame 09.12.1961
Leo naona watu wanamtakia heri ya kuzaliwa.
Tuondoleeni huu utata
Baviha wanatudanganya tarehe ya kuzaliwa kiongozi wao, ni mangapi mtakuwa mmetudanganya. Mkishika uongozi wa Taifa hili mtatudanganya mangapi??According to Yerico tarehe 09 Dec ni ubatizo wake... ila kuzaliwa ni Sept 14.
Mkuu nimeshangaa mpaka nimechapia hahahaAsee, hii siku ya ushuru ni ya nchi gani????
Mkuu nimeshangaa mpaka nimechapia hahaha
Kuna mtu mmetudanganya ni Dr akijitokeza wa kuhoji mnamuua.Baviha wanatudanganya tarehe ya kuzaliwa kiongozi wao, ni mangapi mtakuwa mmetudanganya. Mkishika uongozi wa Taifa hili mtatudanganya mangapi??
Alizaliwa tarehe 14 September .Jana tarehe 13 September kikatiba ya chadema ndio Ilikuwa siku yake ya Mwisho Kama mwenyekiti wa chadema taifa kwa mijibu wa katiba ya chadema Ina maana Leo hi tarehe 14 September Ni siku yake ya kuzaliwa na siku yake ya kwanza ya kuotawala chadema kidikteta kimabavu Bila ridhaa ya wanachama wa Chadema.Hivyo Leo anasherehekea pia siku ya kuwa mwenyekiti wa mabavu wa Chadema.Happy birthday dictator mbowe on your first day celebration of your dictatorshipi in the Chadema Republic