Mbowe ni political genius

Mbowe ni political genius

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,806
Reaction score
2,349
Tangu mwaka elfu mbili kumi na tano baada ya uchaguzi ndo nikajua akili mbowe maana ccm ilibidi wabadili sheria na namna ya kupambana na ukawa hali ilikuwa mbaya

kwanza kuopiga marufuku mikutano ya siasa mpaka 2020

pili sheria ya mitandaoni ili kujua wanaoshambulia ccm ni akina nani na kushughulikiwa

tatu bunge lisiwe live na watu wasione bungeni kunaendelea nini

Hatua zote hizi zimechukuliwa ili kupunguza nguvu ya upinzani na aliyesababisha yote hayo ni mbowe kwa kumtema dr. wibrod slaa na kumchukua lowasa.
jambo hilo lilionekana la kipuuzi mwanzoni lakini matokeo yake ilikuja kuwa balaa kwa bi mkubwa ilibidii atafute namna ya kujiokoa maana hali yake ilikuwa mbaya sana.

Tuache unafiki tuweke ushabiki pembeni kama sheria hizi zisingetungwa na mambo kuendelea kama zamani leo tunaongelea nini kwa ccm.

Ndo mama namuona mbowe kama mtu aliweza kucheza gemu za siasa kama pele mwaka elfu mbili kumi natano
 
Tangu mwaka elfu mbili kumi na tano baada ya uchaguzi ndo nikajua akili mbowe maana ccm ilibidi wabadili sheria na namna ya kupambana na ukawa hali ilikuwa mbaya

kwanza kuopiga marufuku mikutano ya siasa mpaka 2020

pili sheria ya mitandaoni ili kujua wanaoshambulia ccm ni akina nani na kushughulikiwa

tatu bunge lisiwe live na watu wasione bungeni kunaendelea nini

Hatua zote hizi zimechukuliwa ili kupunguza nguvu ya upinzani na aliyesababisha yote hayo ni mbowe kwa kumtema dr. wibrod slaa na kumchukua lowasa.
jambo hilo lilionekana la kipuuzi mwanzoni lakini matokeo yake ilikuja kuwa balaa kwa bi mkubwa ilibidii atafute namna ya kujiokoa maana hali yake ilikuwa mbaya sana.

Tuache unafiki tuweke ushabiki pembeni kama sheria hizi zisingetungwa na mambo kuendelea kama zamani leo tunaongelea nini kwa ccm.

Ndo mama namuona mbowe kama mtu aliweza kucheza gemu za siasa kama pele mwaka elfu mbili kumi natano
maganjwa vip mwal.Kengera bado yupo
 
Acha ujinga, Mbowe alizingua sana kwa Lowassa.
2015 Baada ya kupigwa chini, Lowassa hakuwa na pakukimbilia, alimchukua wa nini?

hauoni alivyomuabisha?

Lowassa ni FRAUD KUBWA SANA.
calculation ya siasa haipo kama hesabu 3x3=33 kisiasa ok ngoja nikukubalie kwa nini ccm na serikali yake waliamua kubadili sheria mbali mbali walihofu nini maana usisahau nguvu ya chama cha siasa ni viti bungeni naomba unijibu hapo
 
2020 hakuna jipya mimi naona giza tu kwa kuwa hatuna tume huru ya uchaguzi
 
calculation ya siasa haipo kama hesabu 3x3=33 kisiasa ok ngoja nikukubalie kwa nini ccm na serikali yake waliamua kubadili sheria mbali mbali walihofu nini maana usisahau nguvu ya chama cha siasa ni viti bungeni naomba unijibu hapo

Kinachofanywa na serikali ni maelekezo binafsi ya JIWE sababu JIWE hakubaliani na utawala wa kidemocrasia, ndio hurka yake.

serikali ya CCM ndio iliruhusu vyama vingi mwaka 1992 wakati wananchi walivikataa kwenye kura ya maoni. sasa unawezaje sema eti serikali ya CCM haitaki vyama vingi.
 
Kinachofanywa na serikali ni maelekezo binafsi ya JIWE sababu JIWE hakubaliani na utawala wa kidemocrasia, ndio hurka yake.

serikali ya CCM ndio iliruhusu vyama vingi mwaka 1992 wakati wananchi walivikataa kwenye kura ya maoni. sasa unawezaje sema eti serikali ya CCM haitaki vyama vingi.
ccm ya 92 sio ccm ya leo na mwaka elfu mbili kumi na tano equation iliyotumika ilikuwa ngumu sana na iliwaumiza ccm iliwaumiza sawsawa
 
Duh sina nyongeza ila fomula yako ilizingua pakubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ni political equation sio mchezo kama unataka kuelewa iko ivi watu wanaenda porini kutafuta ikulu ili kuondoa utawala sasa kama unaona mtu fulani ni potential sana na anaweza kutekeleza lengo la kuchua dola kuna shida gani ya kuwa naye pamoja kama anakubali ndiyo iliyofanyika. hata kenya wakati uhuru anagombea urais BBc na vyombo vya magharibi walipiga sana kelele kwamba ana kesi the hague lakini wakenya wakaziba masikio yao leo si rais wa kenya tena mwanademokrasia mzuri sana.
 
Tangu mwaka elfu mbili kumi na tano baada ya uchaguzi ndo nikajua akili mbowe maana ccm ilibidi wabadili sheria na namna ya kupambana na ukawa hali ilikuwa mbaya

kwanza kuopiga marufuku mikutano ya siasa mpaka 2020

pili sheria ya mitandaoni ili kujua wanaoshambulia ccm ni akina nani na kushughulikiwa

tatu bunge lisiwe live na watu wasione bungeni kunaendelea nini

Hatua zote hizi zimechukuliwa ili kupunguza nguvu ya upinzani na aliyesababisha yote hayo ni mbowe kwa kumtema dr. wibrod slaa na kumchukua lowasa.
jambo hilo lilionekana la kipuuzi mwanzoni lakini matokeo yake ilikuja kuwa balaa kwa bi mkubwa ilibidii atafute namna ya kujiokoa maana hali yake ilikuwa mbaya sana.

Tuache unafiki tuweke ushabiki pembeni kama sheria hizi zisingetungwa na mambo kuendelea kama zamani leo tunaongelea nini kwa ccm.

Ndo mama namuona mbowe kama mtu aliweza kucheza gemu za siasa kama pele mwaka elfu mbili kumi natano
Kwa hiyo wale wanaosema Lowassa alivutwa kutoka CCM na Lipumba ni wapotoshaji? Kumbe Mbowe mwenyewe ndo aliyekodi mamluki toka CCM kuipa nguvu CDM.

Mbowe hawezi kuwa jiniasi. Maarifa, mbinu na maamuzi yake yanachagizwa na ile kauli maarufu ya Mwl. Nyerere ya "mpinzani wa kweli ni yule atakayetokana na CCM" na siyo CDM. Kwa hiyo alitarajia kwa kumsimamisha Lowassa wa CCM kungetimiza utabiri wa Nyerere na CDM ingechukua nchi.

Kiufupi Mbowe haamini CDM yake inaweza kutoa mgombea na akashinda urais na kwahiyo tutarajie mamluki mwingine wa CCM kupewa nafasi katika uchaguzi mkuu ujao.
 
Tangu mwaka elfu mbili kumi na tano baada ya uchaguzi ndo nikajua akili mbowe maana ccm ilibidi wabadili sheria na namna ya kupambana na ukawa hali ilikuwa mbaya

kwanza kuopiga marufuku mikutano ya siasa mpaka 2020

pili sheria ya mitandaoni ili kujua wanaoshambulia ccm ni akina nani na kushughulikiwa

tatu bunge lisiwe live na watu wasione bungeni kunaendelea nini

Hatua zote hizi zimechukuliwa ili kupunguza nguvu ya upinzani na aliyesababisha yote hayo ni mbowe kwa kumtema dr. wibrod slaa na kumchukua lowasa.
jambo hilo lilionekana la kipuuzi mwanzoni lakini matokeo yake ilikuja kuwa balaa kwa bi mkubwa ilibidii atafute namna ya kujiokoa maana hali yake ilikuwa mbaya sana.

Tuache unafiki tuweke ushabiki pembeni kama sheria hizi zisingetungwa na mambo kuendelea kama zamani leo tunaongelea nini kwa ccm.

Ndo mama namuona mbowe kama mtu aliweza kucheza gemu za siasa kama pele mwaka elfu mbili kumi natano
Yap Kuna watu wa IQ ndogo hawatakuelewa
Ingetokea NEC ikamtangaza mgombea wa CDM raisi. kuna,watu wale wanaolaumu wangekuwa wanamsujudu mbowe
 
Back
Top Bottom