nani kasema Lema ameuza kiti kwa CCM? hamuwajui waarusha nyie, huo moto hautazimika! and that Lowassa guy labda aendelee kuishi humohumo kwenye hiyo ofisi. akitoka wanae!
Heshima kwako Bigirita,
Mkuu wangu jeshi la polisi limejiaanda kudhibiti wafuasi wa CHADEMA gari la kumwaga maji ya kuwasha liko eneo la tukio,L/cruiser za polisi zipo za kutosha,polisi wamekodi L/Cruiser tano Bushbback safaris kwaajili ya kuwalinda wanachama wa CCM wanaojianda kushaherekea ushindi wa Mama.
Lema deserve death sentence ya mikono ya wananchi na si kwa njia ya sheria, i could advise wananchi wote wa Arusha waungane, na kuhakikisha hatoloki incase nachosikia hapa kama ni kweli.... Hawezi kuichezea jamii na mageuzi. Hakika kama ningekuwa Arusha personaly leo either ningekufa, kuumizwa vibaya sana na vyombo vya dola au kuwa kilema wa maisha. Haikubariki, haiingii akilini, haiwezekani.