Dunamist
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 474
- 682
Amani iwe kwenu wakuu!
Jana tar. 13 sept. kwenye gazeti la Mwananchi la mtandaoni kulikuwa na habari yenye kichwa kilichosomeka "WAITARA ADAI AMEKATAA KUWA KENGE CHADEMA"
Mwananchi ilimnukuu mgombea ubunge wa CCM jimboni Ukonga akisema "Mbowe jimboni kwake Hai kuna umeme hadi migombani, Mbeya mjini halikadhalika, ila mimi nikitaka kuonana na waziri husika kwa ajili ya maendeleo jimboni kwangu nakatazwa''.
Waitara aliendelea kusema kuwa CDM ni msafara wa mamba, hivyo yeye amekataa kuwa kenge.
Swali langu ni;
-Mbowe na Sugu wanatumia pesa gani kupeleka maendeleo majimboni kwao, kama hawaruhusiwi kuonana na mawaziri husika?
-Je! Mbowe na Sugu wanaonana na mawaziri kimya kimya ila wanawakataza wabunge wengine wa CDM kufanya hivyo?
Jana tar. 13 sept. kwenye gazeti la Mwananchi la mtandaoni kulikuwa na habari yenye kichwa kilichosomeka "WAITARA ADAI AMEKATAA KUWA KENGE CHADEMA"
Mwananchi ilimnukuu mgombea ubunge wa CCM jimboni Ukonga akisema "Mbowe jimboni kwake Hai kuna umeme hadi migombani, Mbeya mjini halikadhalika, ila mimi nikitaka kuonana na waziri husika kwa ajili ya maendeleo jimboni kwangu nakatazwa''.
Waitara aliendelea kusema kuwa CDM ni msafara wa mamba, hivyo yeye amekataa kuwa kenge.
Swali langu ni;
-Mbowe na Sugu wanatumia pesa gani kupeleka maendeleo majimboni kwao, kama hawaruhusiwi kuonana na mawaziri husika?
-Je! Mbowe na Sugu wanaonana na mawaziri kimya kimya ila wanawakataza wabunge wengine wa CDM kufanya hivyo?