Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,317
- 1,157
Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh
Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh
Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh
Ndio zile style za kina lipumba na saif sharif, unabaki kiongozi mpaka utoweke duniani, hawa ndio firauni wa vyama hivi.
akili ndogo ya mbowe div 0. anaongoza akili kubwa.maprof na ma phd chamani.
Ndugu yangu nafikiri hujajitathmini hata we mwenyewe,labda we ndiye mwenye pupa na papara kufanya upembuzi yakinifu!Hebu fikiria Mbowe ana miaka 20 kwenye Chama na amekua mwenye hekima kwenye mambo mengi sana,labda kama hufuatilii mambo sana!Nafikiri angekua wa papara asingefika hapo alipo angekua tayari ameshaacha Chama.Hebu ulizia kwanza kabla ya kupost ili usionekane wewe ndiye mwenye Papara!!Pole lakini...ndio ufahamu wako huo,usijaliNaandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh
Jazba zipi? Nilikuwepo mkutanoni...
Vipi tukikuchagua wewe? Au huchaguliki?
Mna matatizo nyie mnaomponda Mbowe.....tatizo lenu mmezoea siasa za matusi jukwaani, mtu asipotukana akiongea mambo yanayotakiwa kwa wananchi mnaanza kumponda, ndio maana hamuendelei. pambavu
Ndugu yangu Chadema uwa hawakosolewi.
Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh
Ritz - si hitaji kuungwa mkono na watu wa aina yako....
fredie - sidhani kama ni sawa kutoa siku kadhaa hili na hili liwe limetendeka na kwa jazba namna ile. Kwa mfano CCM wakiwanyima kibali cha hayo maandamano si kuna hatari hapo, kwa nini asitumie political pressure (kusema mabayo ya CCM na serikali yake) bila kuhatarisha maisha ya watu
Ndugu yangu Chadema uwa hawakosolewi.
miaka ishirini wakati wanasema chama chao ni kichanga? kumbe wazushi tuNdugu yangu nafikiri hujajitathmini hata we mwenyewe,labda we ndiye mwenye pupa na papara kufanya upembuzi yakinifu!Hebu fikiria Mbowe ana miaka 20 kwenye Chama na amekua mwenye hekima kwenye mambo mengi sana,labda kama hufuatilii mambo sana!Nafikiri angekua wa papara asingefika hapo alipo angekua tayari ameshaacha Chama.Hebu ulizia kwanza kabla ya kupost ili usionekane wewe ndiye mwenye Papara!!Pole lakini...ndio ufahamu wako huo,usijali
Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh
ningeshangaa usitirike na huu uzi hahahaha mtani wa jadi bwana mkumbushe babu mangula siku hazigandi.......
Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh