Mbowe na siasa

Mbowe na siasa

Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.

Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.

Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh

Kama baba yako ndio anayejua kujenga kuliko mbowe basi tutashukuru kama atagombea uwenyekiti.
Je unakumbuka wakati wakongomano la cuf na cdm juu ya mpasuko wa kambi ya upinzani,je ni nani aliyekuwa anaonekana ana busara na nani aliyekuwa anaonekana ana papara?
 
Mkuu,
Ukitaka ushauri wako wa busara ufanyiwe kazi, wasiliana na Mzee Mtei. Yeye ndiye anayeamua nani awe mwenyekiti. Ila kuwa makini, hata yeye alishasema "we can not allow a man from NOWHERE to be our chairman".

Kwa hawa bendera fuata upepo wa mitaani utaambulia matusi tu.

Mbona hamumpi ushauri mwenyekiti wenu dhaifu
 
wantaka kamwenyekiti kalegevu lagevu kanakogeuza chama cha familia na kasikojua lipi zito na lipi jepesi.
 
tumekusoma tumekuelewa mbinu zako chafu dhidi ya kamanda mbowe,,,! hija yako haikubaliki sio tu kwa wanachadema bali hata kwa wote wazalendo na wapenda nchi....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom