Tabora yetu
Senior Member
- Sep 13, 2014
- 139
- 21
Mh,mbowe na salumu mwalimu na viongozi wandamizi wa chadema kuunguruma leo mji kahama kuanzia majira ya 14:00pm au saa nane mchana ni mwendelezo mh mbowe kuimarisha kanda zote ili kurahisisha ushindi hapo mwezi wa kumi ikumbukwe imesalia miezi 6 tu kufika mwezi wa kumi kamanda wa anga yupo kanda ya ziwa na kanda ya magharibi kuwaweka sawa viongozi wa kanda kwa maandalizi ya kuiondoa ccm magogoni viva chadema