Mbowe na Lema mbona mmejificha?

Mbowe na Lema mbona mmejificha?

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Ni wakati sasa kwa watanzania kuujua 'USANII' wa CHADEMA ambao wamekuwa wakitufanyia kwa muda mrefu sasa.

USANII huo wamekuwa wakiufanya mara kwa mara bila ya watanzania kujua chochote, hali inayopelekea kuendelea kuaminiwa.

Lakini sasa kwa hili la bomu la Arusha, watanzania ni wakati muhafaka wa kujua hasa dhamira ya viongozi hawa wa CHADEMA.

Hivi karibuni, baada tu ya ajali ya bomu kutokea, Mbowe alijitokeza kwenye vyombo vya habari na kutoa TAMKO kuwa yeye ana ushahidi wa video yenye kumuonyesha mtu anaedaiwa kurusha 'bomu' kwenye mkutano wake uliofanyika viwanja vya Soweto, Arusha.

Jambo la kushangaza ni kutoweka kwa bwana Mbowe na mwenzake Lema, mara tu baada ya kuombwa wapeleke ushahidi wao polisi, lakini vilevile, jeshi la polisi limempa Mbowe fursa ya kupeleka ushahidi huo wa video IKULU, kama Mbowe hana imani na jeshi hilo.

Ndugu watanzania, kwa hali kama hii ya polisi kuomba ushirikiano wa bwana Mbowe katika kubaini muhusika wa tukio la mlipuko, na kitendo cha Mbowe kujificha na ushahidi huo (kama kweli upo), inakupa picha gani?

"HUU NDIO USANII WA CHADEMA."
 
Mbowe si kujificha tu bali amewanyima watanzania haki ya kuwakilishwa na wabunge wao bungeni kwa kuwaamuru wabunge wa Chadema kwenda Arusha kumlinda asikamatwe baada yeye na Lema kuanzisha vurugu.
 
Mbowe na Lema hawawezi kujificha hata siku moja. Wajifiche kwa kumuogopa nani, Chagonja?????
 
Hili kuondoa utata miongoni mwetu kuhusiana na tukio hili, ni vyema Mh. Mbowe akatoa ushahidi wa video hiii, kwani wananchi tunashindwa kuelewa.
 
Nimekuwa nikifuatilia hizi thread za huyu mtu anayejiita HAMY-D,kweli nimegundua anatumia kichwa kufugia nywele,he is always negative even on issues which has national interest,sijui anafanya haya kwa faida ya nani?????????????????au ndo wale wale wakina M.S.E.N.G.E??tumia kichwa/ubongo kufikiri na sio kufugia nywele kama wale wakinaniiiii
 
We uko arusha? Lema na Mbowe wameongea na waandishi wa habari wakasema simu zao ziko on hawajapigiwa simu wanasikia kwenye radio tu wanatafutwa. Na wakawaambia wako Briston Hotel wanaendelea na vikao vya chama wakawachukue.
 
Mbowe na Lema hawawezi kujificha hata siku moja. Wajifiche kwa kumuogopa nani, Chagonja?????
Wewe ndio unayasema hayo wenyewe wanaitambua nguvu ya dola,usitishike na zile kelele zao za majukwaani ni katika kutafuta ugali wa kila siku na umaarufu wa kisiasa mziki wa polisi wanaujua unaweza ukajikuta ghafla umepigwa Tanganyika jeki ukadhalilika.
 
Ni wakati sasa kwa watanzania kuujua 'USANII' wa CHADEMA ambao wamekuwa wakitufanyia kwa muda mrefu sasa.

USANII huo wamekuwa wakiufanya mara kwa mara bila ya watanzania kujua chochote, hali inayopelekea kuendelea kuaminiwa.

Lakini sasa kwa hili la bomu la Arusha, watanzania ni wakati muhafaka wa kujua hasa dhamira ya viongozi hawa wa CHADEMA.

Hivi karibuni, baada tu ya ajali ya bomu kutokea, Mbowe alijitokeza kwenye vyombo vya habari na kutoa TAMKO kuwa yeye ana ushahidi wa video yenye kumuonyesha mtu anaedaiwa kurusha 'bomu' kwenye mkutano wake uliofanyika viwanja vya Soweto, Arusha.

Jambo la kushangaza ni kutoweka kwa bwana Mbowe na mwenzake Lema, mara tu baada ya kuombwa wapeleke ushahidi wao polisi, lakini vilevile, jeshi la polisi limempa Mbowe fursa ya kupeleka ushahidi huo wa video IKULU, kama Mbowe hana imani na jeshi hilo.

Ndugu watanzania, kwa hali kama hii ya polisi kuomba ushirikiano wa bwana Mbowe katika kubaini muhusika wa tukio la mlipuko, na kitendo cha Mbowe kujificha na ushahidi huo (kama kweli upo), inakupa picha gani?

"HUU NDIO USANII WA CHADEMA."

Mbona unasimamia kucha tangu limetokea hilijambo?Muulize kwanza Chagonja amefikia wapi na timu yake ya uchunguzi?Vilevile kama ni video kulikuwa na vyombo vingi vya habari uwanjani badala ya kushirikiana nao anawakamata waandishi na kuwatesa.Wakati akitoa povu kudai video kwa Mbowe mwambieni pia awahoji polisi waliokuwa uwanjani.Kwa hali hii ya kutumia nguvu bila akili nakubaliana na maneno ya mwana JF mmoja kuwa Chagonja amepelekwa kuvuruga ushahidi na sio kutafuta wahusika.
 
Watu hawa ni wahaini muda wa kuwabembeleza umeisha wakati maisha ya watu yanazidi kupotea.serikali isiwe na huruma na wavunja amani.
 
Kwasababu Mh.Mbowe na Mh.Lema wamejificha, kwanini Chagonja asimfuate Nape atoe ushahidi wake kuwa CDM inahusika na ulipuaji wa Bomu la Arusha?
 
Wewe ndio unayasema hayo wenyewe wanaitambua nguvu ya dola,usitishike na zile kelele zao za majukwaani ni katika kutafuta ugali wa kila siku na umaarufu wa kisiasa mziki wa polisi wanaujua unaweza ukajikuta ghafla umepigwa Tanganyika jeki ukadhalilika.
Aaah kumbe unachoogopa sana ni nguvu ya dola? Maguvu ya dola hayafui dafu umma ukiamua. Wako wapi akina Gadafi? Hosni Mubarak? Samuel Doe? Haki ndio mshindi siku zote. Ufisadi na aina zote za udhalimu huzaa aibu hata kwa watoto wetu.
 
Hao ndio makamanda feki unaowasikia duniani

Ulitaka wawe waasi? Kwanini mnawatafuta sana sasahivi mara baada ya kuwaambia wanao ushahidi mpaka wa video. Na kwanini waonekane hovyo wakati wameshatishiwa maisha kwa kunusurika kulipuliwa bomu na vyombo vya dola? "Utawala huu hautakwepa the Hague."
 
Ni wakati sasa kwa watanzania kuujua 'USANII' wa CHADEMA ambao wamekuwa wakitufanyia kwa muda mrefu sasa.

USANII huo wamekuwa wakiufanya mara kwa mara bila ya watanzania kujua chochote, hali inayopelekea kuendelea kuaminiwa.

Lakini sasa kwa hili la bomu la Arusha, watanzania ni wakati muhafaka wa kujua hasa dhamira ya viongozi hawa wa CHADEMA.

Hivi karibuni, baada tu ya ajali ya bomu kutokea, Mbowe alijitokeza kwenye vyombo vya habari na kutoa TAMKO kuwa yeye ana ushahidi wa video yenye kumuonyesha mtu anaedaiwa kurusha 'bomu' kwenye mkutano wake uliofanyika viwanja vya Soweto, Arusha.

Jambo la kushangaza ni kutoweka kwa bwana Mbowe na mwenzake Lema, mara tu baada ya kuombwa wapeleke ushahidi wao polisi, lakini vilevile, jeshi la polisi limempa Mbowe fursa ya kupeleka ushahidi huo wa video IKULU, kama Mbowe hana imani na jeshi hilo.

Ndugu watanzania, kwa hali kama hii ya polisi kuomba ushirikiano wa bwana Mbowe katika kubaini muhusika wa tukio la mlipuko, na kitendo cha Mbowe kujificha na ushahidi huo (kama kweli upo), inakupa picha gani?

"HUU NDIO USANII WA CHADEMA."
Wewe Chupi leo asubuhi ungefungulia Sun Rise Redio na ukamsikia Lema akihojiwa na kusema anamshangaa Changonja kwakusema eti kajificha na yeye Lema akasema yeye na Mwenyekiti wake Mbowe wako Kibo Palace Hotel kwenye kikao na kama Chagonja anamtafuta kwanini asije hapo na kumkamata!
 
wazee wazima wamekaa kujificha kama panya, hii ni aibu kubwa. wasije kukamatwa wako kwenye hali aliyo kutwa nayo saddam hussen.
 
nadhani kichwani ni kweupe kuna kitabu kinaitwa logic thinking and reasoning ningekusauri usome ili uweze kuweka argument zenye manufaa kwa jamii.
Mbowe si kujificha tu bali amewanyima watanzania haki ya kuwakilishwa na wabunge wao bungeni kwa kuwaamuru wabunge wa Chadema kwenda Arusha kumlinda asikamatwe baada yeye na Lema kuanzisha vurugu.
 
Mizigo mingine hakiamungu haibebeki!
HAMY-D wewe ni kati ya mzigo humu jamvini.


Ni wakati sasa kwa watanzania kuujua 'USANII' wa CHADEMA ambao wamekuwa wakitufanyia kwa muda mrefu sasa.

USANII huo wamekuwa wakiufanya mara kwa mara bila ya watanzania kujua chochote, hali inayopelekea kuendelea kuaminiwa.

Lakini sasa kwa hili la bomu la Arusha, watanzania ni wakati muhafaka wa kujua hasa dhamira ya viongozi hawa wa CHADEMA.

Hivi karibuni, baada tu ya ajali ya bomu kutokea, Mbowe alijitokeza kwenye vyombo vya habari na kutoa TAMKO kuwa yeye ana ushahidi wa video yenye kumuonyesha mtu anaedaiwa kurusha 'bomu' kwenye mkutano wake uliofanyika viwanja vya Soweto, Arusha.

Jambo la kushangaza ni kutoweka kwa bwana Mbowe na mwenzake Lema, mara tu baada ya kuombwa wapeleke ushahidi wao polisi, lakini vilevile, jeshi la polisi limempa Mbowe fursa ya kupeleka ushahidi huo wa video IKULU, kama Mbowe hana imani na jeshi hilo.

Ndugu watanzania, kwa hali kama hii ya polisi kuomba ushirikiano wa bwana Mbowe katika kubaini muhusika wa tukio la mlipuko, na kitendo cha Mbowe kujificha na ushahidi huo (kama kweli upo), inakupa picha gani?

"HUU NDIO USANII WA CHADEMA."
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom