Mbowe na Chadema, mmeshindwa na mtashindwa tena!

Mbowe na Chadema, mmeshindwa na mtashindwa tena!

Pslmp

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2021
Posts
1,612
Reaction score
2,459
Ni lini mh Mbowe na Chadema wameitisha mandamano ya kwenda kuwang'oa wabunge wake walioko bungeni,ambao anasema hawapo kisheria kwa mjibu wa katiba ya Chama anachokiongoza?

Ni kivipi suala la katiba analishikia bango na kwa sauti kubwa ili hali sauti na nguvu kama hii anayotaka kuitumia hajawahi kuionesha kwa wanaojinufaisha kupitia chama chake?

Tukisema anavuta mpunga kutoka kwa wabunge wasiotambuliwa na chama (Kimagumashi) huku yeye akiwatambua na kufanya jambo hili kuwa la siri siri ili yeye kuendelea kuvuta mpunga ni kosa?

Kama kweli Mh Mbowe na chama chake wamedhamilia kudai katiba mpya tena kwa vitisho na mikutano kila pahala, waanze kwanza kufanya hivyohivyo kwa kuwatoa wabunge wanaoendelea kutumia jina la chama chao ili hali Chama kinadai hakiwatambui

Watanzania, hivi ni kwa nini tusiwapuuze Chadema kwa hadaa hizi,

Kama chama chenyewe kwa chenyewe kinashindwa kufanya mambo yake kwa ukamilifu, inakuwaje watusumbue kuhusu katiba tena ya nchi ambayo inahitaji uadilifu mkubwa katika kuisimamia?

Mbowe na Chadema mmeshindwa kuisimamia katiba na mambo yenu, mtaweza kuisimamia Katiba ya nchi na kuitendea haki?

Sisi wazalendo tunasema! Masilahi kidogo mnayoyapata kwenye kuivunja katiba ndogo ya chama chenu, sasa mnatafuta masilahi makubwa katika Katiba ya nchi, Mtashindwa!

Tunataka katiba, ila ni vyema tuonyeshe uwezo wa kusimamia katiba ndogo za vyama vyetu kwa hali na mali, kwa nguvu na jasho, ndipo tuitafute katiba ya nchi tukiwa na ujasiri mkubwa!
 
Mambo yalianza taratibu wao wakaendelea na mapambio ya kumkosoa marehemu na kumsifia biushungi
  • Hakupandisha mishahara, wakawa kimya
  • Akasema raisi hakosei, wakawa kimya
  • Wabunge Covid-19 walikuwapo bungeni akihutubia, wakawa kimya
  • Now babu kubwa, hakuna katiba mpya na hakuna mikutano. fullstop.
Mwanaume atoke
 
mpaka sasa baraza kuu halijakaa kusikiliza rufani ya co vid 19 huu ni usanii kama usanii mwingine isitoshe hao wabunge wengine ni wake au vimada wa viongozi wa chadema
 
Haya tumempuuzia Mbowe tumeshakusikiliza wewe mkuu kuna lingine la kuongezea?
Nachotaka mkuu, si hicho wewe umeandika, Naitaka Chadema irudi kwenye hadhi yake ili iendelee kujipatia heshima yake

Na hiyo heshima inayopotea, ni kuacha na kupuuza mambo ya msingi huku wakikimbilia mambo magumu zaidi kueleweka kwa kuwa, msingi wao sio huo ambao leo chadema wanakuja nao
 
mpaka sasa baraza kuu halijakaa kusikiliza rufani ya co vid 19 huu ni usanii kama usanii mwingine isitoshe hao wabunge wengine ni wake au vimada wa viongozi wa chadema
Badala ya kushughulikia hili ambalo linaangusha heshima yao, wanakimbilia jambo kuuubwa, na kipimo chake ni uadilifu wa huku uliko
 
Mimi nauliza kwanini kwenye mikutano yake mbowe hata siku moja hajawahi kuongelea hao covid 19?
 
Mkuu naona ulijiunga hapa jukwaani siku moja baada ya kifo cha dhalimu kutangazwa. Hizi id inafahamika kwanini zilijiunga japo jukwaani.
Shida yako ni nini?
 
Mkuu naona ulijiunga hapa jukwaani siku moja baada ya kifo cha dhalimu kutangazwa. Hizi id inafahamika kwanini zilijiunga japo jukwaani.
mtu aliyekosa hoja, mfanano wake ni kama wewe boss
 
Ni lini mh Mbowe na Chadema wameitisha mandamano ya kwenda kuwang'oa wabunge wake walioko bungeni,ambao anasema hawapo kisheria kwa mjibu wa katiba ya Chama anachokiongoza?

Ni kivipi suala la katiba analishikia bango na kwa sauti kubwa ili hali sauti na nguvu kama hii anayotaka kuitumia hajawahi kuionesha kwa wanaojinufaisha kupitia chama chake?

Tukisema anavuta mpunga kutoka kwa wabunge wasiotambuliwa na chama (Kimagumashi) huku yeye akiwatambua na kufanya jambo hili kuwa la siri siri ili yeye kuendelea kuvuta mpunga ni kosa?

Kama kweli Mh Mbowe na chama chake wamedhamilia kudai katiba mpya tena kwa vitisho na mikutano kila pahala, waanze kwanza kufanya hivyohivyo kwa kuwatoa wabunge wanaoendelea kutumia jina la chama chao ili hali Chama kinadai hakiwatambui

Watanzania, hivi ni kwa nini tusiwapuuze Chadema kwa hadaa hizi,

Kama chama chenyewe kwa chenyewe kinashindwa kufanya mambo yake kwa ukamilifu, inakuwaje watusumbue kuhusu katiba tena ya nchi ambayo inahitaji uadilifu mkubwa katika kuisimamia?

Mbowe na Chadema mmeshindwa kuisimamia katiba na mambo yenu, mtaweza kuisimamia Katiba ya nchi na kuitendea haki?

Sisi wazalendo tunasema! Masilahi kidogo mnayoyapata kwenye kuivunja katiba ndogo ya chama chenu, sasa mnatafuta masilahi makubwa katika Katiba ya nchi, Mtashindwa!

Tunataka katiba, ila ni vyema tuonyeshe uwezo wa kusimamia katiba ndogo za vyama vyetu kwa hali na mali, kwa nguvu na jasho, ndipo tuitafute katiba ya nchi tukiwa na ujasiri mkubwa!
Kanywe maji
 
Nachotaka mkuu, si hicho wewe umeandika, Naitaka Chadema irudi kwenye hadhi yake ili iendelee kujipatia heshima yake

Na hiyo heshima inayopotea, ni kuacha na kupuuza mambo ya msingi huku wakikimbilia mambo magumu zaidi kueleweka kwa kuwa, msingi wao sio huo ambao leo chadema wanakuja nao
Katiba siyo jambo la msingi mkuu.?hali ya nchi yetu unaelewa ilivyo unawezaje kufuatilia mambo ya msingi wananchi wakakuelewa
 
Katiba siyo jambo la msingi mkuu.?hali ya nchi yetu unaelewa ilivyo unawezaje kufuatilia mambo ya msingi wananchi wakakuelewa
Ni jambo mhimu sana mkuu, shida ni kwa nini wanataka jambo kuuubwa na wakati mambo madogomado yamewashinda?
 
Ni lini mh Mbowe na Chadema wameitisha mandamano ya kwenda kuwang'oa wabunge wake walioko bungeni,ambao anasema hawapo kisheria kwa mjibu wa katiba ya Chama anachokiongoza?

Ni kivipi suala la katiba analishikia bango na kwa sauti kubwa ili hali sauti na nguvu kama hii anayotaka kuitumia hajawahi kuionesha kwa wanaojinufaisha kupitia chama chake?

Tukisema anavuta mpunga kutoka kwa wabunge wasiotambuliwa na chama (Kimagumashi) huku yeye akiwatambua na kufanya jambo hili kuwa la siri siri ili yeye kuendelea kuvuta mpunga ni kosa?

Kama kweli Mh Mbowe na chama chake wamedhamilia kudai katiba mpya tena kwa vitisho na mikutano kila pahala, waanze kwanza kufanya hivyohivyo kwa kuwatoa wabunge wanaoendelea kutumia jina la chama chao ili hali Chama kinadai hakiwatambui

Watanzania, hivi ni kwa nini tusiwapuuze Chadema kwa hadaa hizi,

Kama chama chenyewe kwa chenyewe kinashindwa kufanya mambo yake kwa ukamilifu, inakuwaje watusumbue kuhusu katiba tena ya nchi ambayo inahitaji uadilifu mkubwa katika kuisimamia?

Mbowe na Chadema mmeshindwa kuisimamia katiba na mambo yenu, mtaweza kuisimamia Katiba ya nchi na kuitendea haki?

Sisi wazalendo tunasema! Masilahi kidogo mnayoyapata kwenye kuivunja katiba ndogo ya chama chenu, sasa mnatafuta masilahi makubwa katika Katiba ya nchi, Mtashindwa!

Tunataka katiba, ila ni vyema tuonyeshe uwezo wa kusimamia katiba ndogo za vyama vyetu kwa hali na mali, kwa nguvu na jasho, ndipo tuitafute katiba ya nchi tukiwa na ujasiri mkubwa!
Nimesomaaa, lakini nilichogundua ni kwamba, wewe ni mwanachadema tena mwenye imani kali!

Ulichokikosa ndicho unachokihimiza kirudishwe haraka na chama chako, na ulichokosa ni ile mikikimikiki ya chadema enzi zilee za kina Doct Slaa
 
Back
Top Bottom