zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Akifungua kikao cha Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesema wananchi watajadili Katiba kadiri wanavyotaka na siyo kama anavyotaka Rais Jakaya Kikwete na kwamba hata suala la Muungano litajadiliwa kwa vile ni haki yao.
Source: Tanzania Daima.
Mbowe na misukule yake msipoteze umma hakuna mahali Kikwete ameseme Muungano usijadiliwe, kinachosemwa ni si kujadili kuuvunja muungano ni kujadili kuuboresha. Kuweni wa kweli kwenye nafsi zenu. Kama hauutaki muungano unajadili nini? si unasema tu "hatuutaki". Kwisha.
Kama unataka muungano basi kuujadili ni vipi utauboresha ruksa, hakuna aliyekatazwa.