Kwa hili Mbowe yupo sahihi
] Karibu nyumbani UKAWA bwana Lizaboni. Unajua hata Sauli naye alikuwa mtesi na mdhulumu wa Imani. Lakini leo ni mtu aliyekuwa na impact na significance sana katika Imani. Niko hpa Lizaboni, naelekea kituo cha "Boda"Kwa hili Mbowe yupo sahihi
ivi mbowe yeye ameweza kukumea ufisadi CDM kwa matumizi mabaya ya luzuku na michango ya wanachama i.e chama kupanga ofisi ya makao makuu kwa miaka zaidi ya 20
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Wakuu mimi nina mawazo tofauti kidogo,
Inawezekana kabisa Lowassa wa sasa ni tofauti na wa miaka ileee na inawezekana pia na yeye leo ufisadi unamkera kama unavyokukera wewe na ameshagundua kuwa ndio utakaomfanya akose urais lakini anashindwa aanzeje kuukemea.
Tumpe muda labda kuna siku atafunguka na kuweka yote wazi ambapo kila mtu atabaki kushangaa kumbe tumdhaniye ndiye siye.
Asilimia 20 ya wanaomuunga mkono Lowasa ni wapambe wa kununuliwa(hapa wengi wao ni watu wenye ushawishi kwenye makundi mbalimbali), Asilimia 20 ni matajiri na marafiki walioko kwenye genge lake, hawa washaona na kukubaliana watakavyonufaika kibinafsi na uongozi wake, Asilimia 60 ni bendera fuata upepo na wasiojielewa wamelaghaiwa na haya makundi yalonufaika, wanacheza ngoma wasioijua! MASKINI TZ NCHI YA WATU WASIOJITAMBUA!
Kweli EL ni bubu na dhaifu. Amekuwa mhudhuriaju mzuri wa bunge. Wakati upinzani wanaibua ufisadi bungeni kama escrow Mhe. Huyu anayetaka nchi hakusikika kukemea wala nn. Mana yake alikuwa analinda maslah ya chama (wezi) na kushindwa kutetea maslah pana ya taifa.
Hii mana yake hana uzalendo na ni mmoja kati ya wapifaji wa raslimali za watanzania. Kwa hili EL na yeyote awaye toka CCM hana sifa kuwa Rais wetu.
Kwa hili Mbowe yupo sahihi
Kwa hili Mbowe yupo sahihi
Hata askof Gwajima amemkimbia Lowasa na Kumuunga Mkono MboweMh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
lowasa ni vizuri akapumzika na kuendelea kupata pension yake ya uwaziri mkuu mstaafu japo hakustahili. watanzania masikini wa fedha lakini matajiri wa fikra hawako tayari kuona ikulu yao inamilikiwa na mapacha watatu kamwe. lowasa sio bubu tu bali hafai kwenye taasisi nyeti kama ya urais..
ivi mbowe yeye ameweza kukumea ufisadi CDM kwa matumizi mabaya ya luzuku na michango ya wanachama i.e chama kupanga ofisi ya makao makuu kwa miaka zaidi ya 20