mwa 4
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,390
- 754
Shida ya wabeba mikoba wa mbowe hupinga bila kutafiti jaribu kutafuta ukweli kwanza ndipo uanze kubisha unatia aibu kijana.Duh vipaji hii vya umbea si vya kubeza kabisa
Shida ya wabeba mikoba wa mbowe hupinga bila kutafiti jaribu kutafuta ukweli kwanza ndipo uanze kubisha unatia aibu kijana.Duh vipaji hii vya umbea si vya kubeza kabisa
Kwanini hatupendi kukosolewa? This is the free world, you cant hide your sin for long. Tutakujua na tutayajua madhambi yako na tutayasema kama hiviPeleka porojo zako LUMUMBA wewe!
akili inavyokutuma wewe amua ujenge hoja au utoe matusi kamanda
Peleka porojo zako LUMUMBA wewe!
Ha ha ha ha ha ha ha ha! Mkuu hawa vijana wamepagawa wanakimbiana mapema sana jambo la ajabu ni kwamba bavicha hupinga mambo bila hata kutafuta kwanza kujua ukweli.Unamkana BAVICHA mwenzio, au ID yake imekuwa hacked, maana huyu mmaranguoriginal. ni mmoja wa viwavi wanaoshinda humu wakitetea ujinga wa CHADEMA kama wewe.
Kwanini hatupendi kukosolewa? This is the free world, you cant hide your sin for long. Tutakujua na tutayajua madhambi yako na tutayasema kama hivi
Watu wanaoongoza kwa matusi hpa jukwaani mnajulikana...ufipakamanda arushaone nakuonaga mtu wa kujenga hoja kumbe na wewe unakuwa kama mazuzu ya ccm kutukana duh kazi ipo kutoa elimu ya siasa mkuu saanane
Ukweli ndiyo huo mbowe hai imemshinda anatafuta pakutokea hili liko wazi lakini wewe kwa kuwa umelewa siasa za kishabiki bila hata kujitambua unafanya nini mbowe anamawazo ya ajabu sana.Blah blah blah tu! Ukiambiwa na rafiki yako wa karibu unaleta huku JF fasta bila kupeleleza?
Za kuambiwa changanya na zako mjomba!
kamanda arushaone nakuonaga mtu wa kujenga hoja kumbe na wewe unakuwa kama mazuzu ya ccm kutukana duh kazi ipo kutoa elimu ya siasa mkuu saanane
WANABODI, wasaalam nimetonywa na rafiki yangu wa karibu sana wa ndani kwamba mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ana nia ya kugombea jimbo la moshi mjini 2015 kwa kile kinachodaiwa mzee ndesamburo kustaafu siasa na kuachana nayo mosi wakati huo huo kuna tetesi kwamba meya wake JAFARI ndiye anayepigiwa chapuo na mzee ndesambaru kurithi mikoba yake, kitendo hichi kimeleta msuguano wa ndani kwa ndani kati ya mzee ndesamburo na mbowe kwasababu nyumbani kwake hai ameharibu.nataka ukweli wa hili.tujadili
WANABODI, wasaalam nimetonywa na rafiki yangu wa karibu sana wa ndani kwamba mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ana nia ya kugombea jimbo la moshi mjini 2015 kwa kile kinachodaiwa mzee ndesamburo kustaafu siasa na kuachana nayo mosi wakati huo huo kuna tetesi kwamba meya wake JAFARI ndiye anayepigiwa chapuo na mzee ndesambaru kurithi mikoba yake, kitendo hichi kimeleta msuguano wa ndani kwa ndani kati ya mzee ndesamburo na mbowe kwasababu nyumbani kwake hai ameharibu.nataka ukweli wa hili.tujadili
Umeanza kwa matusi na kejeli. Hapa ndio umejikosoa na kujidahihisha, haya turudi kwenye mada....mbowe atagombea moshi mjini? Japhary michael naye anajiandaa kwa upatu wa mzee ndesa? Mbowe ameharibu hai?Sikatai kukosolewa ila nimesema za kuambiwa achanganye na zake!
Huyu naye wa wapi mkuu najua kazi yake na tabia zake unazijua.View attachment 154663 sifa ya watu wa marangu ni uchumi na si umbea
Duh vipaji hii vya umbea si vya kubeza kabisa
Shida ya wabeba mikoba wa mbowe hupinga bila kutafiti jaribu kutafuta ukweli kwanza ndipo uanze kubisha unatia aibu kijana.
Unaweza kunionesha hata neno moja nilitukana mkuu?