Mbowe kugombea ubunge Moshi Mjini

Mbowe kugombea ubunge Moshi Mjini

Unamkana BAVICHA mwenzio, au ID yake imekuwa hacked, maana huyu mmaranguoriginal. ni mmoja wa viwavi wanaoshinda humu wakitetea ujinga wa CHADEMA kama wewe.
Ha ha ha ha ha ha ha ha! Mkuu hawa vijana wamepagawa wanakimbiana mapema sana jambo la ajabu ni kwamba bavicha hupinga mambo bila hata kutafuta kwanza kujua ukweli.
 
Kwanini hatupendi kukosolewa? This is the free world, you cant hide your sin for long. Tutakujua na tutayajua madhambi yako na tutayasema kama hivi

Sikatai kukosolewa ila nimesema za kuambiwa achanganye na zake!
 
ImageUploadedByJamiiForums1398791622.955556.jpg sifa ya watu wa marangu ni uchumi na si umbea
 
Blah blah blah tu! Ukiambiwa na rafiki yako wa karibu unaleta huku JF fasta bila kupeleleza?


Za kuambiwa changanya na zako mjomba!
Ukweli ndiyo huo mbowe hai imemshinda anatafuta pakutokea hili liko wazi lakini wewe kwa kuwa umelewa siasa za kishabiki bila hata kujitambua unafanya nini mbowe anamawazo ya ajabu sana.
 
Ss si ungemuuliza hyohyo mtu wako? Unatuuliza siye ambao tunaahabarishwa na ww?

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
WANABODI, wasaalam nimetonywa na rafiki yangu wa karibu sana wa ndani kwamba mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ana nia ya kugombea jimbo la moshi mjini 2015 kwa kile kinachodaiwa mzee ndesamburo kustaafu siasa na kuachana nayo mosi wakati huo huo kuna tetesi kwamba meya wake JAFARI ndiye anayepigiwa chapuo na mzee ndesambaru kurithi mikoba yake, kitendo hichi kimeleta msuguano wa ndani kwa ndani kati ya mzee ndesamburo na mbowe kwasababu nyumbani kwake hai ameharibu.nataka ukweli wa hili.tujadili


tatizo letu vijana wa kitanzania ni kushindwa kujibu hoja kwa hoja matokeo yake watu wanaishia kutukana...mimi nishasikia hizo tetesi zaidi ya mwaka 1 uliopita..ila cha msingi ni kwamba tuache ushabiki na tuangalie hatima ya manispaa ya Moshi. Ki ukweli mzee ndesa pamoja na kumkubali amechoka na umri umesepa sana..iwapo chadema wakishindwa kuweka mtu sahihi kwa manispaa ya moshi watapoteza jimbo..muhimu ni kuangalia mtu atakayetetea maendeleo ya manispaa ya Moshi na ishu si chama.. tunataka maendeleo na kimsingi Hai hawamtaki mbowe sababu amejikita zaidi kuimarisha chama taifa akasahau Jimbo lake. kwa maoni yangu Manispaa ya Moshi inahitaji mwana moshi mwenye uwezo wa kutetea Moshi bila kujali chama....ila Ni wakati sasa mzee ndesa apumzike ubunge tuchague mwngine mwnye uwezo wa kwenda na kasi ya kizazi cha sasa.... Samahani kwa niliowaudhi.
..
 
WANABODI, wasaalam nimetonywa na rafiki yangu wa karibu sana wa ndani kwamba mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ana nia ya kugombea jimbo la moshi mjini 2015 kwa kile kinachodaiwa mzee ndesamburo kustaafu siasa na kuachana nayo mosi wakati huo huo kuna tetesi kwamba meya wake JAFARI ndiye anayepigiwa chapuo na mzee ndesambaru kurithi mikoba yake, kitendo hichi kimeleta msuguano wa ndani kwa ndani kati ya mzee ndesamburo na mbowe kwasababu nyumbani kwake hai ameharibu.nataka ukweli wa hili.tujadili

Hili la Kugombea Moshi mjini sina uhakika nalo. Ila hili la kuboronga jimboni kwake liko wazi kabisa, Kutokana na sababu zisizojulikana Mbowe amekuwa hadimu sana jimboni kwake. Ahadi zake nyingi hazijatekelezwa hata robo yake. Kwa mf. Aliwaahi wakazi wa Machame Uroki kuwa atawajengea Zahanati na kuwanunulia Ambulance kabla ya 2012, Muda umeshapita na hakuna chochote kilichofanyika.
 
Sikatai kukosolewa ila nimesema za kuambiwa achanganye na zake!
Umeanza kwa matusi na kejeli. Hapa ndio umejikosoa na kujidahihisha, haya turudi kwenye mada....mbowe atagombea moshi mjini? Japhary michael naye anajiandaa kwa upatu wa mzee ndesa? Mbowe ameharibu hai?
 
Shida ya wabeba mikoba wa mbowe hupinga bila kutafiti jaribu kutafuta ukweli kwanza ndipo uanze kubisha unatia aibu kijana.

Kwanza Ben Saanane si mbeba begi la Mbowe, pili mleta mada kasema kaambiwa tu na hana uhakika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom