Mbowe kugombea ubunge Moshi Mjini

Mbowe kugombea ubunge Moshi Mjini

mmaranguoriginal.

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,060
Reaction score
460
WANABODI, wasaalam nimetonywa na rafiki yangu wa karibu sana wa ndani kwamba mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ana nia ya kugombea jimbo la moshi mjini 2015 kwa kile kinachodaiwa mzee ndesamburo kustaafu siasa na kuachana nayo mosi wakati huo huo kuna tetesi kwamba meya wake JAFARI ndiye anayepigiwa chapuo na mzee ndesambaru kurithi mikoba yake, kitendo hichi kimeleta msuguano wa ndani kwa ndani kati ya mzee ndesamburo na mbowe kwasababu nyumbani kwake hai ameharibu.nataka ukweli wa hili.tujadili
 
Mitaani tunasikia mambo mengi sana lakini tunachuja mambo ya kuleta hapa jamvini.Siyo kila taarifa ni habari
 
Huu ni umbea akuna cha personal attack we ungehoj icho chanzo chako kikwambie hai mh wetu kaaribu nini adi aende mosh mjini....... huuu ni umbea liiiiiiiiive bila chenga
 
WANABODI, wasaalam nimetonywa na rafiki yangu wa karibu sana wa ndani kwamba mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ana nia ya kugombea jimbo la moshi mjini 2015 kwa kile kinachodaiwa mzee ndesamburo kustaafu siasa na kuachana nayo mosi wakati huo huo kuna tetesi kwamba meya wake JAFARI ndiye anayepigiwa chapuo na mzee ndesambaru kurithi mikoba yake, kitendo hichi kimeleta msuguano wa ndani kwa ndani kati ya mzee ndesamburo na mbowe kwasababu nyumbani kwake hai ameharibu.nataka ukweli wa hili.tujadili

Mbona mie nimesikia anagombea Nakuru Kenya kutokana na maombi ya wananchi wa huko?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Huu ni umbea akuna cha personal attack we ungehoj icho chanzo chako kikwambie hai mh wetu kaaribu nini adi aende mosh mjini....... huuu ni umbea liiiiiiiiive bila chenga

kamanda kawaulize vijana waliotengeneza vikundi vikundi vidogo vidogo vya miche pesa zao walizohadiwa zimekwenda wapi ndio tetesi zenyewe
 
Kwani hata ukiharibu kwenu ndiyo wanakufukuza?Mimi nadhani ukiharibu kwenu ndipo watakuita faraghani wakuonye,na si kukufukuza.Mh!
 
Tatizo la viongozi wetu hawashauriki, wakishapata umaarufu wakasifiwa sifiwa wanajitenga na watu
 
Back
Top Bottom