Mbowe: Kikwete ni zaidi ya kiongozi

Mbowe: Kikwete ni zaidi ya kiongozi

Kila mmoja ana akili yake na mtazamo wake,kama katibu kaona hakuna la maana litakalomfanya amkumbuke kikwete tatizo lake liko wapi? Huo ni mtazamo wake bwana

Mbowe kumsifia kikwete pia si kwa mambo yote ila kwa hilo la kutimiza ahadi jimboni mwake hata kama ingekuwa wewe ungefanya the same tu

Tafutani makosa mengine mapya kabisa ya katibu mkuu,kashauriana na bi hamida ili mje upya tena
 
SLAA ana watu wake atakaowakumbuka kama MAHIMBO, GWAJIMA na wengine kama hao.
 
Kila mmoja ana akili yake na mtazamo wake,kama katibu kaona hakuna la maana litakalomfanya amkumbuke kikwete tatizo lake liko wapi? Huo ni mtazamo wake bwana

Mbowe kumsifia kikwete pia si kwa mambo yote ila kwa hilo la kutimiza ahadi jimboni mwake hata kama ingekuwa wewe ungefanya the same tu

Tafutani makosa mengine mapya kabisa ya katibu mkuu,kashauriana na bi hamida ili mje upya tena

Na JK naye kama kiongozi ana mapungufu yake, lakini ni wendawazimu mtu kusema hana cha kumkumbuka katika uongozi wake, mimi nadhani mbali na kuwa limbukeni wa siasa, SLAA atakuwa na ukilema fulani wa kisaikolojia.
 
Mtazamo na fikra za binadamu kiasilia hazifanani, nikikuuliza chanzo cha umasikini tanzania nauhakika jibu unalo lakini mwenyekiti wako afahamu kwanini watanzania nimasikini,

Mwenyekiti wa nani? JK ni rais wa watanzania, siyo mwenyekiti wa mtu. ni upeo mdogo tu wa kuelewa ndiyo maana hamkumuelewa Rais alikuwa na maana gani kusema hajui kwa nini watanzania ni maskini. Kauli kama za JK ni za mtu anayeguswa na matatizo ya wananchi wake, ni kauli zinazoashiriwa kuwa na kiu ya kuwatatulia wananchi wake matatizo, sasa kama mliichukulia kauli hiyo kigwajima gwajima hiyo ni shauri ya wenye akili kama hizo.
 
Mwenyekiti wa nani? JK
ni rais wa watanzania, siyo mwenyekiti wa mtu. ni upeo mdogo tu wa
kuelewa ndiyo maana hamkumuelewa Rais alikuwa na maana gani kusema hajui
kwa nini watanzania ni maskini. Kauli kama za JK ni za mtu anayeguswa
na matatizo ya wananchi wake, ni kauli zinazoashiriwa kuwa na kiu ya
kuwatatulia wananchi wake matatizo, sasa kama mliichukulia kauli hiyo
kigwajima gwajima hiyo ni shauri ya wenye akili kama hizo.

Jk ni mwenyekiti wenu. Nani kakudanganya kuwa Jk anakerwa na umaskini wa watz? wakati yeye ndo chanzo cha umaskini.
 
Nmkumbuke Kikwete kwa lip hasa, Labda kwa wanaharakat km kina Mwangos waliouawa chin ya uongoz wake, kujenga miundo mbinu kwan kajenga kwa pesa yake? Ila we Nunda kwel yaan kodi yang mwenyewe ndo inatumika kujenga barabara tena zsizo na viwango haf nmkumbuke mtu. Aisee mie nitajikumbuka mwenyewe
 
hivi mtela utarudi kugombea mbozi na kupingana na mwenyekiti wako zambi
 
Watch "Freeman Mbowe alipomfagilia JK kwa juhudi zake za kuendeleza miundombinu Tanzania"


Hata wewe mwenyewe ni zaidi ya kiongozi unakumbuka ulivyo kuwa unazunguka Mbozi mashariki ukitangaza kuwa ulishinda ubunge Zambi akakuchakachuwa leo umegeuka kuwa mlamba viatu wa Zambi sijui ndiyo amekurudishia ubunge wako.
 
Last edited by a moderator:
hivi mtela utarudi kugombea mbozi na kupingana na mwenyekiti wako zambi

Atagombea kupitia chama cha vitunguu swaum na Zambi atagombea kupitia chama cha CCM.CCM inawenyewe mtu kama Mtela aliyekwenda huko kwa ajili ya njaa zake hawezi akagusa kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM.
 
ulipo? utwansiku? ukubhaligha bhamwao!? ubhunafiki bhubhibhi sana,we Mtela wa kuvwawa iwe!
 
Wanasiasa : usimwamini kila mwanasiasa hata Kama ni wa upinzani by zitto
 
Kikwete kada maamulu wa chadema hivi kasha rudisha kadi ya chadema
 
Back
Top Bottom