Mbowe katuudhi, bora turudi CCM

Mbowe katuudhi, bora turudi CCM

Kuondoka kwao hakuitishi Chadema kila la kheri hiyo ni tafsir walikua hawana imani ya kichama let them go
 
Mwenye kujitambua hawez kubaki CDM hasa kwenye kipindi hiki ambacho CDM wamekua watetezi wakubwa wa majipu
 
Mleta thread leo huambulii buku 7 kwasababu umeandika kitoto sana. Na kesho tena ukiandika matope basi huna kazi lumumba
 
Tangu lowasa alipojiunga chadema itanichukua miaka Ming sana kuwaamin cdm aseeee
 
Haaaa inaendelea.. ndiyo yale yale maigizi ya kipibdi cha uchaguzi..... CCM YA MAIGIZO NA BABA YAO NI HTARE.
 
Back
Top Bottom