Mbowe katuudhi, bora turudi CCM

Mbowe katuudhi, bora turudi CCM

Wamehama wengi wameingia wengi
Ukweli ni hamna anayeingia, ila wanaotoka ni wengi. Yaani hata wazee wa viroba ktk vituo vya mabasi akili zinaanza kuwarudi. Fika Segerea mwisho asubuhi kituo cha basi usikie stori zao.
 
Dogo acha kupanik!..Mbowe chama kilikuwa cha babamkwe kabla Luwasa kununua hisa nyingi...


umepewa kazi moja tu ya kukomaa na luwasa kibaya zaid kawaacha hatua mia mbili mbele hamna namna kila nkifuatiliaga post zako huwa zinamlenga luwasa una kazi ya ziada mkuu kuonesha kuwa wewe huna masihara ulitakiwa wewe na mwakyembe muunganishe nguvu zenu ili mumpeleke mahakamani la sivyo mtakuwa mnaumia kila siku huku jf.
 
ki ukweli mbowe kasababisha wananchi wengi kupoteza imani na cdm,jamaa yupo kimaslai sana.....pole kwa nliemkwaza.
 
Hii staili mosha aliitumia Mara ya mwisho akaja kutukana watu wamemuangusha mbowe ni mastermind Wa siasa za Tanzania acha wajisumbue
 
Yamesemwa Jana na Vijana 12 waliokuwa wa Chadema Wilaya ya Moshi wakati wakivua Magamba yao kumthibitia Kaimu katibu mkuu wa UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Kuwa wao si majipu wanaomba wanaCCM wawapokee
"...tulisikia akisema Rais anatekeleza Sera zetu,kweli rais anapambana na ufisadi na kuwasaidia watanzania,wanatoka bungeni kumpinga? Huu ni unafiki kama Mbowe angekuwa na busara angeenda kumuona rais ampe maoni yake si kumtega Rais ,angejataliwa ndio angeuambia umma tujue,tumechoka siasa za ovyo tunarudi CCM kumuunga Mkono Magufuli.."
aa6b67b1a2d4e23a5a57f6c43bbb87ff.jpg
32ad1cf058dd26663f9fedb9715a1b5c.jpg
d93a11e33dfd1b1ce43eb59212c04e33.jpg
886e70a406248f2b9f76a4b5ffb03f43.jpg
Bora urudi kwa magufuli angalau kuliko huko kwa mcc
 
Heri yao wao wamejitambua mapema na kuufuta unyumbu wamebaki wafiwa chama tu nao siku ujuha ukiisha wataungana na watanzania wenzao kumuunga mkono mh rais
 
Ukweli ni hamna anayeingia, ila wanaotoka ni wengi. Yaani hata wazee wa viroba ktk vituo vya mabasi akili zinaanza kuwarudi. Fika Segerea mwisho asubuhi kituo cha basi usikie stori zao.
Mgeja alikwenda kumwomba JK arudi CCM, JK alivyo kauzu akamwambia afanye press conference kueleza kwanini alitoka na kwanini anataka kurejea.. Mgeja akalala mbele ...
 
Inaonekana Mbowe anafanya Lumumba inaweweseka tuu.
Maana mnamtaja sana kijana mzalendo huyu mwenye weredi.
 
umepewa kazi moja tu ya kukomaa na luwasa kibaya zaid kawaacha hatua mia mbili mbele hamna namna kila nkifuatiliaga post zako huwa zinamlenga luwasa una kazi ya ziada mkuu kuonesha kuwa wewe huna masihara ulitakiwa wewe na mwakyembe muunganishe nguvu zenu ili mumpeleke mahakamani la sivyo mtakuwa mnaumia kila siku huku jf.
Hongera kwa kutetea mafisadi
 
umepewa kazi moja tu ya kukomaa na luwasa kibaya zaid kawaacha hatua mia mbili mbele hamna namna kila nkifuatiliaga post zako huwa zinamlenga luwasa una kazi ya ziada mkuu kuonesha kuwa wewe huna masihara ulitakiwa wewe na mwakyembe muunganishe nguvu zenu ili mumpeleke mahakamani la sivyo mtakuwa mnaumia kila siku huku jf.
vijana wa ufipani....bangi zitawaumiza!
 
Hao vijana wanajitambua
Naona wejua kuwa Viroba nihatari kwa ustawi WA maisha na akili zao
 
Back
Top Bottom