Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Mwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.
Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.