Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,505
Reaction score
16,005
Ndugu zangu,

Huu utaratibu wa Chadema na Mbowe ni mpya katika ulimwengu wa siasa,yaani mwenyekiti anakikopesha chama kisha anakata ruzuku ili "kuridhisha pesa zake".Kwa hakika huu ni ujasiriasiasa ni aina mpya ya ubunifu katika kujipatia fedha katika siasa hasa pale wajanja na makanjanja wapogundua wafuasi ni mazwazwa.

Kwa haraka haraka nimejiuliza maswali yafuatayo;

Riba ya mkopo ni asilimia ngapi?

Muda wa marejesho ni miaka mingapi?

Dhamana ni nini?

Katiba ya Chadema inaruhusu?ni kifungu kipi?

Ni kikao kipi kiliidhinisha ukopaji?Je mkopeshaji alikuwa sehemu ya walioidhinisha?

Je akija mwenyekiti mwingine atakubali kulipa madeni yasiyo na vielelezo?

Unaweza kutafakari zaidi Ila hili jambo linastahili mjadala wa kina.
 
Hujawahi kuwa na hoja wewe
Hoja kwa hoja kamanda
tapatalk_1567627458569.jpeg
 
Ungeonesha kwanza vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amelipwa kwa sababu alikikopesha Chama pesa..pia vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amejikipesha chama pesa. Hizo vielelezo viendane na transaction ya pesa kutoka Account ya Mbowe kwenda Account ya chama na kinyume chake pia.
Ukishaonesha vielelezo nadhani wadau watakua tayari kuanza kuijadili mada iliopo mezani.
 
Ndugu zangu,

Huu utaratibu wa Chadema na Mbowe ni mpya katika ulimwengu wa siasa,yaani mwenyekiti anakikopesha chama kisha anakata ruzuku ili "kuridhisha pesa zake".Kwa hakika huu ni ujasiriasiasa ni aina mpya ya ubunifu katika kujipatia fedha katika siasa hasa pale wajanja na makanjanja wapogundua wafuasi ni mazwazwa.

Kwa haraka haraka nimejiuliza maswali yafuatayo;

Riba ya mkopo ni asilimia ngapi?

Muda wa marejesho ni miaka mingapi?

Dhamana ni nini?

Katiba ya Chadema inaruhusu?ni kifungu kipi?

Ni kikao kipi kiliidhinisha ukopaji?Je mkopeshaji alikuwa sehemu ya walioidhinisha?

Je akija mwenyekiti mwingine atakubali kulipa madeni yasiyo na vielelezo?

Unaweza kutafakari zaidi Ila hili jambo linastahili mjadala wa kina.

Chadema na mbowe kipi kilianza?
Alafu mbona hilo ni jambo la kawaida sana? Kitu gani kinakushangaza hapo
 
Ungeonesha kwanza vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amelipwa kwa sababu alikikopesha Chama pesa..pia vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amejikipesha chama pesa. Hizo vielelezo viendane na transaction ya pesa kutoka Account ya Mbowe kwenda Account ya chama na kinyume chake pia.
Ukishaonesha vielelezo nadhani wadau watakua tayari kuanza kuijadili mada iliopo mezani.
Nakazia hapa.
 
Ndugu zangu,

Huu utaratibu wa Chadema na Mbowe ni mpya katika ulimwengu wa siasa,yaani mwenyekiti anakikopesha chama kisha anakata ruzuku ili "kuridhisha pesa zake".Kwa hakika huu ni ujasiriasiasa ni aina mpya ya ubunifu katika kujipatia fedha katika siasa hasa pale wajanja na makanjanja wapogundua wafuasi ni mazwazwa.

Kwa haraka haraka nimejiuliza maswali yafuatayo;

Riba ya mkopo ni asilimia ngapi?

Muda wa marejesho ni miaka mingapi?

Dhamana ni nini?

Katiba ya Chadema inaruhusu?ni kifungu kipi?

Ni kikao kipi kiliidhinisha ukopaji?Je mkopeshaji alikuwa sehemu ya walioidhinisha?

Je akija mwenyekiti mwingine atakubali kulipa madeni yasiyo na vielelezo?

Unaweza kutafakari zaidi Ila hili jambo linastahili mjadala wa kina.
You always utter nonsense
 
Ila tukiacha unafiki mtoa mada ana point inayopaswa kujibiwa kwa hoja mujarabu sio matusi au kejeli. Mbowe kuikopesha chadema ilihali akiwa ni mwenyekiti inatengeneza 'conflict of interest' kwa mkopeshaji kuwa ndiye mlipaji!
 
Chadema na mbowe kipi kilianza?
Alafu mbona hilo ni jambo la kawaida sana? Kitu gani kinakushangaza hapo
Aliyewahi kuwa naibu katibu mkuu Zitto Kabwe amewahi kusema baadhi ya hiyo mikopo ni wizi. Kwa mfano Mkono na Rostam walimpa pesa Mbowe ya kukisaidia chama yeye akadai ni pesa yake amekikopesha chama. Hilo haliwezi kuwa jambo la kawaida.
 
Ungeonesha kwanza vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amelipwa kwa sababu alikikopesha Chama pesa..pia vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amejikipesha chama pesa. Hizo vielelezo viendane na transaction ya pesa kutoka Account ya Mbowe kwenda Account ya chama na kinyume chake pia.
Ukishaonesha vielelezo nadhani wadau watakua tayari kuanza kuijadili mada iliopo mezani.
Kamanda ripoti zinaonesha kuwa gharama za matangazo kipindi cha uchaguzi alikikopesha chama.Upo wapi?
 
Aliyewahi kuwa naibu katibu mkuu Zitto Kabwe amewahi kusema baadhi ya hiyo mikopo ni wizi. Kwa mfano Mkono na Rostam walimpa pesa Mbowe ya kukisaidia chama yeye akadai ni pesa yake amekikopesha chama. Hilo haliwezi kuwa jambo la kawaida.

That is opportunity hakuna tatizo kwani zilikuwa ela za serikali?
 
Mnashindwa nini kumpeleka mahakamani?
Aliyewahi kuwa naibu katibu mkuu Zitto Kabwe amewahi kusema baadhi ya hiyo mikopo ni wizi. Kwa mfano Mkono na Rostam walimpa pesa Mbowe ya kukisaidia chama yeye akadai ni pesa yake amekikopesha chama. Hilo haliwezi kuwa jambo la kawaida.
 
Back
Top Bottom