Mbowe: CCM kipanapaswa kulaumiwa kwa maumivu yote ambayo Watanzania wameyapata

mshale21

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
2,049
4,904
. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema chama tawala, CCM kinapaswa kulaumiwa kwa maumivu yote ambayo Watanzania wameyapata katika miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini.

Amesema katika muda huo, Tanzania imepitia vipindi tofauti, lakini kipindi cha kati ya mwaka 2015 – 2021 kilikuwa cha maumivu makali kwenye demokrasia na athari zake kila Mtanzania alizishuhudia.

Hoja hizo za Mbowe zilijibiwa na mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Stephen Wasira akisema CCM haiwezi kulaumiwa kwa kila jambo kwa sababu mambo mengine yanatokea kwenye vyama bila chama chenyewe kuhusika.

Mbowe alitoa lawama hizo juzi jioni, wakati akichangia mjadala kuhusu hali ya siasa ya vyama vingi na maendeleo nchini, ulioandaliwa na Kituo cha Kimataifa cha Sera Afrika (CIP) na kufanyika kupitia mtandao wa Clubhouse.

Mjadala huo ulioanza saa 11:00 jioni ulimalizika saa 3:00 usiku na kushirikisha wadau mbalimbali, wakiwemo wanasiasa wakongwe Wasira, Zitto Kabwe na Hamad Rashid Mohammed.
 
Kwamba Wassira anakataa sio CCM waliomteua Magufuli? sio KK ya chama chake iliyomleta Magufuli kwa watanzania kama mgombea urais?

Au anataka kutuambia ule uteuzi wa Magufuli kwenye KK ya CCM ulikuwa ni uamuzi wa JK peke yake?

Anyway, hii inaweza kuwa kweli, kwasababu Kikwete alishaingia na jina la Membe mfukoni, alipoona hali imekuwa mbaya baada ya kumkata Lowassa wajumbe wakachachamaa ndio akampitisha Magufuli.
 
Ukilala ukiamka Magufuli, ni sawa na kutuaminisha kwamba nchi hii ilikuwa inaenda sawa ila Magufuli ndio kaleta shida. Nchi ambayo miaka kumi nyuma huko ilifikia hadi kuwa na rais aliyeonekana kuwa ni dhaifu na wengine kuona kama nchi ilikuwa imeshauzwa.
 
Kwamba Wassira anakataa sio CCM waliomteua Magufuli? sio KK ya chama chake iliyomleta Magufuli kwa watanzania kama mgombea urais?

Au anataka kutuambia ule uteuzi wa Magufuli kwenye KK ya CCM ulikuwa ni uamuzi wa JK peke yake?

Anyway, hii inaweza kuwa kweli, kwasababu Kikwete alishaingia na jina la Membe mfukoni, alipoona hali imekuwa mbaya baada ya kumkata Lowassa wajumbe wakachachamaa ndio akampitisha Magufuli.
Lowasa huyu huyu alietumwa na Kikwete kuibomoa Chadema na baada ya kuibomoa akarudi kwa waliomtuma au kuna mungine? Mwaka 2015 ilibidi Lowasa akatwe kwa masilahi ya CCM, maana kama wangempitisha kugombea na shutuma zake alizotengenezewa na Chadema, nina imani angeangukia pua mchana kweupe. So ili chama kisimfie mikononi Kikwete kama mlivyokuwa mnasema, ndo akaja na mbinu mpya ambayo imewasaidia kwa kiasa kikubwa kuifikisha Chadema hapa ilipo leo. Kabla ya kusafishwa na Chadema, wananchi wengi walikuwa washamuweka Lowasa kwenye "black list", so asingetoboa.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    24.9 KB · Views: 5
. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema chama tawala, CCM kinapaswa kulaumiwa kwa maumivu yote ambayo Watanzania wameyapata katika miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini.

Amesema katika muda huo, Tanzania imepitia vipindi tofauti, lakini kipindi cha kati ya mwaka 2015 – 2021 kilikuwa cha maumivu makali kwenye demokrasia na athari zake kila Mtanzania alizishuhudia.

Hoja hizo za Mbowe zilijibiwa na mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Stephen Wasira akisema CCM haiwezi kulaumiwa kwa kila jambo kwa sababu mambo mengine yanatokea kwenye vyama bila chama chenyewe kuhusika.

Mbowe alitoa lawama hizo juzi jioni, wakati akichangia mjadala kuhusu hali ya siasa ya vyama vingi na maendeleo nchini, ulioandaliwa na Kituo cha Kimataifa cha Sera Afrika (CIP) na kufanyika kupitia mtandao wa Clubhouse.

Mjadala huo ulioanza saa 11:00 jioni ulimalizika saa 3:00 usiku na kushirikisha wadau mbalimbali, wakiwemo wanasiasa wakongwe Wasira, Zitto Kabwe na Hamad Rashid Mohammed.
Kama chama hakiusiki nimtu au serekali nani kazamini hili?ndio maana wavuvi tunasema bila kufidiwa 2025 hatuja juwa kura zetu tunampa nani au tunaacha kupiga kura basi
Inaonesha hata ccm kupitia wasira wanaruka kihunzi nikukiri haki haikuwepo kabisa
 
Lowasa huyu huyu alietumwa na Kikwete kuibomoa Chadema na baada ya kuibomoa akarudi kwa waliomtuma au kuna mungine? Mwaka 2015 ilibidi Lowasa akatwe kwa masilahi ya CCM, maana kama wangempitisha kugombea na shutuma zake alizotengenezewa na Chadema, nina imani angeangukia pua mchana kweupe. So ili chama kisimfie mikononi Kikwete kama mlivyokuwa mnasema, ndo akaja na mbinu mpya ambayo imewasaidia kwa kiasa kikubwa kuifikisha Chadema hapa ilipo leo. Kabla ya kusafishwa na Chadema, wananchi wengi walikuwa washamuweka Lowasa kwenye "black list", so asingetoboa.
CCM hawana hiyo akili unayowapa, kumtengeneza Lowassa ili akawavuruge Chadema.

Lowassa alienda Chadema kwa mapenzi yake mwenyewe, tena akiwa na hasira za kusalitiwa na rafiki yake JK.

Kilichokuja kutokea mpaka Lowassa akarejea CCM ni simu za kumbembeleza alizokuwa akipigiwa muda mrefu na uoga wa kutaifishiwa mali zake.
 
CCM hawana hiyo akili unayowapa, kumtengeneza Lowassa ili akawavuruge Chadema.

Lowassa alienda Chadema kwa mapenzi yake mwenyewe, tena akiwa na hasira za kusalitiwa na rafiki yake JK.

Kilichokuja kutokea mpaka Lowassa akarejea CCM ni simu za kumbembeleza alizokuwa akipigiwa muda mrefu na uoga wa kutaifishiwa mali zake.
Siasa umeivamia juzi, so huna unalolijua. Wakati watu wanapanga yao hapo "pichani" , wewe ulikuwa haujafika mjini. Endelea kufanywa karai tu hapo na wenzako wenye uzoefu wa siasa.

Hadi siku ukija shtuka kutakuwa kumeshapambazuka, na wajanja washakutelekeza.
 

Attachments

  • images (62).jpeg
    images (62).jpeg
    27.2 KB · Views: 5
Siasa umeivamia juzi, so huna unalolijua. Wakati watu wanapanga yao hapo "pichani" , wewe ulikuwa haujafika mjini. Endelea kufanywa karai tu hapo na wenzako wenye uzoefu wa siasa.

Hadi siku ukija shtuka kutakuwa kumeshapambazuka, na wajanja washakutelekeza.
😂😂😂😂
 
. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema chama tawala, CCM kinapaswa kulaumiwa kwa maumivu yote ambayo Watanzania wameyapata katika miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini.

Amesema katika muda huo, Tanzania imepitia vipindi tofauti, lakini kipindi cha kati ya mwaka 2015 – 2021 kilikuwa cha maumivu makali kwenye demokrasia na athari zake kila Mtanzania alizishuhudia.

Hoja hizo za Mbowe zilijibiwa na mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Stephen Wasira akisema CCM haiwezi kulaumiwa kwa kila jambo kwa sababu mambo mengine yanatokea kwenye vyama bila chama chenyewe kuhusika.

Mbowe alitoa lawama hizo juzi jioni, wakati akichangia mjadala kuhusu hali ya siasa ya vyama vingi na maendeleo nchini, ulioandaliwa na Kituo cha Kimataifa cha Sera Afrika (CIP) na kufanyika kupitia mtandao wa Clubhouse.

Mjadala huo ulioanza saa 11:00 jioni ulimalizika saa 3:00 usiku na kushirikisha wadau mbalimbali, wakiwemo wanasiasa wakongwe Wasira, Zitto Kabwe na Hamad Rashid Mohammed.
Huwezi kuwa Mbunge au Waziri bila kuwa na Chama kinachokuwakilidha kama mwanachama.
Kwa hiyo chama kinastahili kubebeshwa lawama zote za madhila wsliyoyapata wanahudika
 
Siasa umeivamia juzi, so huna unalolijua. Wakati watu wanapanga yao hapo "pichani" , wewe ulikuwa haujafika mjini. Endelea kufanywa karai tu hapo na wenzako wenye uzoefu wa siasa.

Hadi siku ukija shtuka kutakuwa kumeshapambazuka, na wajanja washakutelekeza.
Simply umeweka hiyo picha hapo ukajipachikia maneno yako ili ku justify uongo wako, am better than that.
 
. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema chama tawala, CCM kinapaswa kulaumiwa kwa maumivu yote ambayo Watanzania wameyapata katika miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini.

Amesema katika muda huo, Tanzania imepitia vipindi tofauti, lakini kipindi cha kati ya mwaka 2015 – 2021 kilikuwa cha maumivu makali kwenye demokrasia na athari zake kila Mtanzania alizishuhudia.

Hoja hizo za Mbowe zilijibiwa na mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Stephen Wasira akisema CCM haiwezi kulaumiwa kwa kila jambo kwa sababu mambo mengine yanatokea kwenye vyama bila chama chenyewe kuhusika.

Mbowe alitoa lawama hizo juzi jioni, wakati akichangia mjadala kuhusu hali ya siasa ya vyama vingi na maendeleo nchini, ulioandaliwa na Kituo cha Kimataifa cha Sera Afrika (CIP) na kufanyika kupitia mtandao wa Clubhouse.

Mjadala huo ulioanza saa 11:00 jioni ulimalizika saa 3:00 usiku na kushirikisha wadau mbalimbali, wakiwemo wanasiasa wakongwe Wasira, Zitto Kabwe na Hamad Rashid Mohammed.
Hayo yanayofanyika bila chama kuhusika kwa mujibu wa Wasira kwanza tumpongeze kwa kukubali kuw akuna uharamia unafanyika.Pili tuilaum serikali ya ccm kwa kutochukua hatua.
 
Amiri jeshi atishwe na Wajumbe wa Kamati kuu aliewateua mwenyewe kina Sophia Simba na Abdalla Bulembo halafu asitishwe na Chadema na Mziki wa Lowassa wa 2015?

'…katika kitu ninachokijua zaid nje ndani kwny maisha yangu ni Chama cha Mapinduzi'-JK akikabidhi Uenyekiti wa CCM 2016 Mkoani Singida

kama 'aliweza' kuiba kura John ' mtu baki 'ashinde 2015 angeshindwa vipi kwa 'mdogo wake' Benard?
Kwamba Wassira anakataa sio CCM waliomteua Magufuli? sio KK ya chama chake iliyomleta Magufuli kwa watanzania kama mgombea urais?

Au anataka kutuambia ule uteuzi wa Magufuli kwenye KK ya CCM ulikuwa ni uamuzi wa JK peke yake?

Anyway, hii inaweza kuwa kweli, kwasababu Kikwete alishaingia na jina la Membe mfukoni, alipoona hali imekuwa mbaya baada ya kumkata Lowassa wajumbe wakachachamaa ndio akampitisha Magufuli.
 
Back
Top Bottom