Mbowe awapongeza wabunge CCM

Mbowe awapongeza wabunge CCM

Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe

Hapo sasa kuna ushirikiano katika ubongo wako?
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe

We unafikiria wanaume tu.
 
[h=5]Mbowe awapongeza wabunge CCM: KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amepongeza msimamo wa wabunge hasa wa CCM kwa kuweka itikadi zao pembeni na kusimamia kidete suala la bajeti ya Wizara ya Maji, hadi ikasitishwa ili iboreshwe zaidi.[/h]

Kwanza nianze kwa kumpongeza Mbowe kwani sasa amepevuka kisiasa na anaanza kuiva, kufuatia maamuzi yake ya kuwapongeza wabunge wa CCM ambao ndio wengi bungeni kwa zaidi ya 79% ya wabunge wote baada ya maamuzi yao yenye tija kwa taifa ya kuikataa bajeti ya wizara ya maji.

Pili, wabunge wa CCM ni makini mno, na sio tu kwenye hii wizara ya maji, bali hata maamuzi waliyofanya kwenye bajeti zilizo tangulia kama vile bajeti ya ofisi ya rais,waziri mkuu na bajeti ya kilimo.
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe

Serukamba uuuu..
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe
Jaribu kuwa kama mwanamke mwenye akili ata ya darasa la tatu kwa ukiacha kutumiwa hko nyu na wana siasa itakuwaje
 
Back
Top Bottom