Mbowe awapongeza wabunge CCM

Mbowe awapongeza wabunge CCM

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
[h=5]Mbowe awapongeza wabunge CCM: KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amepongeza msimamo wa wabunge hasa wa CCM kwa kuweka itikadi zao pembeni na kusimamia kidete suala la bajeti ya Wizara ya Maji, hadi ikasitishwa ili iboreshwe zaidi.[/h]
 
Ndio raha ya kiongozi anajejali maslahi ya Taifa, na sio kuchumia tumbo kama wengine wanavyofanyaga. Ilikuwa na haja gani kutupilia mbali hoja ya Mnyika? kama leo wanaikataa bajeti. Au maji yalikuwepo muda wa bunge lililopita halafu yamekata ghafla ndio maana wakawa popo
 
pamoja na pongezi hizo...mwenye kiti wao anaelekea dodoma ili kuwasulubu kwa kukwamisha bajeti hiyo....
 
Hamna lolote wameona aibu maji yamewasuta ngoja ije maalisiri utaona walivyo vigeugeu magamba si sio wote inawahusu kama maji walikataa hoja y mnyika kwa nini na leo wanafanya nini magamba bwana
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe
 
Hamna lolote wameona aibu maji yamewasuta ngoja ije maalisiri utaona walivyo vigeugeu magamba si sio wote inawahusu kama maji walikataa hoja y mnyika kwa nini na leo wanafanya nini magamba bwana

Wanaogopa mnyika atawaumbua maana yale maandamano ya ubungo aliyaahirisha. Chezea maji uone kama utarudi jimboni
 
Hii ndiyo Siasa, kwenye kupongeza unapongeza kwenye kuponda unaponda. Siyo kila siku unakuwa ni mtu wa kuponda tu hadi wananchi wanakuona kama mwehu.
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe

Umekalia pumba tu....layama mkubwa we!
 
Mbowe awapongeza wabunge CCM: KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amepongeza msimamo wa wabunge hasa wa CCM kwa kuweka itikadi zao pembeni na kusimamia kidete suala la bajeti ya Wizara ya Maji, hadi ikasitishwa ili iboreshwe zaidi.

Angalau mara moja moja wabunge wa CCM wameonyesha kufikiri kwa kutumia vichwa badala matumbo yao.

Huwa naduwaa kumsikia mheshimiwa mbunge wa CCM anachangia hoja kwa kulalamika na kusikitika jimbo lake halitendewi haki 95% of the time lakini anahitimisha mchango wake kwa kusema eti "Anaunga mkono hoja kwa asilimia 100"

Nafikiri walimsikiliza na kumuelewa mbunge wa Tarime ambaye alikemea sana tabia hiyo.

Kwa kweli tabia hizo ni moja ya mambo ambayo hunifanya nikubali kauli ya Mheshimiwa Tundu Lissu kwamba kipindi cha vikao vya bunge ni "Silly season"
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe

Nimekudharau kuliko Mwanangu wa Wiki mbili , masikini mkubwa !
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe

mtoto mpumbavu ni hasara kwa mamaye
 
Hii ndiyo Siasa, kwenye kupongeza unapongeza kwenye kuponda unaponda. Siyo kila siku unakuwa ni mtu wa kuponda tu hadi wananchi wanakuona kama mwehu.

today i have personally seen a little bit of wisdom in your reply or let us say comment,but lini wewe ulishaacha siasa za majitaka za kuitetea ccm kwenye kila jambo hata lile lisilokuwa na maslahi kwa taifa???? Sumu
 
Last edited by a moderator:
daaaa kweli wewe salmar mumeo si jangili umesikia jana ruaha wanalalamika tembo nane wameuliwa tena kipindi cha ziara yao ya tamasha morogoro apo vipi
 
Mbowe awapongeza wabunge CCM: KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amepongeza msimamo wa wabunge hasa wa CCM kwa kuweka itikadi zao pembeni na kusimamia kidete suala la bajeti ya Wizara ya Maji, hadi ikasitishwa ili iboreshwe zaidi.

Ahsante sana!!!!
 
Ingekua zito kawasifia duh mambulula wanaofuata upepo ungewaona mapovu yanavowatoka bt alowasifu ni mumme wao ohoooo safiiii zidumu fikra za mwenyekiti DJ mbowe
wewe sisteri, kwa lugha uliyotumia humu, inaelekea una uswahiba wa karibu sana na akina Serukamba, Nkamia, Lusinde na Mwigulu Nchemba!!
 
wewe sisteri, kwa lugha uliyotumia humu, inaelekea una uswahiba wa karibu sana na akina Serukamba, Nkamia, Lusinde na Mwigulu Nchemba!!

Mwigulu amekosa nini si ndiye aliyeomba mwongozo wa kutaka serikali ikakutane na kamati ya bajeti ndio sipika akaahirisha
 
Back
Top Bottom