MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Na matusi yamo?wewe ni choko ungenijua usingesema napinga maana ninachokiongea nakielewa
Na matusi yamo?wewe ni choko ungenijua usingesema napinga maana ninachokiongea nakielewa
Leo kulikuwa na ujio wa Mwenyekiti wa CDM Taifa Mbowe Vingunguti na Buguruni,wiki hii nzima jamaa wanatupigia kelele za matangazo ya kuja Mbowe.
Leo jamaa wamefunga mziki uwanjani wameweka jukwaa wamekodi matarumbeta na ngoma. Wamejaa Tabata na mapikipiki na magari ya mabendera kibao,na wengine wamejaa Buguruni shell. Kufika saa nane wakaambiwa Mbowe haji tena. Ni aibu ya mwaka jamaa wamenywea hawana la kuwaambia watu waliojaa.
Kwahiyo wewe unajifanya mwehu kupingana na ukweli.
na matusi yamo?
Mwambie Mbowe aache kurubuni wananchi.
Kigoma kuwa Dubai
Ukumbuke kuwa mlikuwa mmepanga kuushambulia mkutano huo kwa Bomu na kwa kuwa Idara ya Usalama ya CDM ipo makini Lengo lenu limefail na kwa hiki ulichokiandika ni maumivu uliyoyapata.
Mwambieni mwenyekiti wenu aache uhuni
wakati mwingine tuwetunasema ukweli jamani, mbowe kwishinei hana jipya tena
kichwa cha mbowe hakina kitu watu wa dar wanaupeo wa mambo aliogopa kupata aibu sijui angewaambia kitu gani wakati kichwa chake ndiyo vile mwenzangu na mie.
wakati mwingine tuwetunasema ukweli jamani, mbowe kwishinei hana jipya tena
Tumchape Mbowe
Ukumbuke kuwa mlikuwa mmepanga kuushambulia mkutano huo kwa Bomu na kwa kuwa Idara ya Usalama ya CDM ipo makini Lengo lenu limefail na kwa hiki ulichokiandika ni maumivu uliyoyapata.