Au walitaka awe LipumbaSasa Ulitaka CHADEMA wamchague Hamad kuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni?
Au walitaka awe LipumbaSasa Ulitaka CHADEMA wamchague Hamad kuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni?
The party through its secretariat has adopted a westminster system to elect the leader of the opposition, following that Chadema caucus has endorsed Rt. Hon. Freeman Mbowe as the leader, Zitto Kabwe as his Deputy and Tundu Lisu as Chiefwhip.
SOURCE ZITTO KABWE
hizo ni mbwembwe wewe
I doubt - makundi yapo - na ndiyo maana wametoka na Model ya "Queen"!
I think it was a bit "tricky" to ask Zitto to agree to disagree!
katika kipindi ambacho kitakuwa kigumu katika historia ya chama cha mafisadi ccm ni hiki hapa 2010 november hadi 2015 september. Nikiangalia safu iliyoko hapo juu mjengoni kutoka chadema ni kwamba ni timu ya makombora ya maangamizi ambayo sijaona kama ccm wana hata patriotic moja ya ku intercept mashambulizi yenye hoja zilizojaa logic na evidence.
Ccm kaeni mkao wa kufunikwa bungeni halafu mkifika kwa wananchi mkutane na zomea zomea ya hilooooo, haooo, kamataaa, mafisadi haooo!!!!!!!
CCM watafunikwa tu kama wabunge wao ni type ya kina Vicky Kamata wanaopeka sura bungeni unategemea nini.
Kama ni Technology na hisi hii itakuwa ya kichina!!!!!!!!!!:rip:
Katika kipindi ambacho kitakuwa kigumu katika historia ya Chama Cha Mafisadi CCM ni hiki hapa 2010 November hadi 2015 September. Nikiangalia SAFU iliyoko hapo juu mjengoni kutoka CHADEMA ni kwamba ni timu ya Makombora ya Maangamizi ambayo sijaona kama CCM wana hata Patriotic moja ya ku intercept mashambulizi yenye hoja zilizojaa logic na evidence.
CCM kaeni mkao wa kufunikwa bungeni halafu mkifika kwa wananchi mkutane na Zomea zomea ya Hilooooo, haooo, kamataaa, mafisadi haooo!!!!!!!
Kaka CUF ni wapinzani lakini kwa idadi yao ndogo dhidi ya Chadema hawawezi kuunda Serikali kivuli, hivyo basi Chadema wanaunda kwa wingi wao wa wabunge, CUF na vyama vingine vya upinzani wanaweza kuwa invited (na Chadema). Kumbuka 2005 CUF waliunda kambi ya upinzani bila kushirikisha chama kingine cha upinzani kutokana na kuwa na wabunge wengi kuliko wenzao, lakini baadae wakaamua kuwakaribisha wenzao katika kambi hiyo.