Mbowe avuka lengo kuchangia msikiti, asisitiza amani, upendo na mshikamano

umeona watu wasio na gubu kama wewe??!!
wao wanataka maendeleo tu..........harambee imefanyika na msikiti unajengwa, watu wataswali humo na maisha yataendelea.

vijana watajipanga kupandisha watalii mlima kilimanjaro, watapata mihela, na maisha yataendelea

miti itapandwa, mazingira yataboreka, na maisha yataendelea.

Wewe kalia hadith tu na extremism.
 
how old are u Sheikh?
 

umesema yote, sina la kuongeza
 
kama mbowe anawajali waislam.tutamuona uwanja wa taifa 18/12/2011 katika uchangaiji wa TV mpya ya kiislam. yaani TV imani.vyenginevyo tutaamini wamekatazwa na cdu

Una maana kila tukio la uchangiaji huduma za Kiislamu Mbowe lazima ajipeleke bila kuombwa na wahusika? Huko alikofanya harambee ni jimboni kwake, ni himaya yake kwa wapiga kura wake. Hayo ya kuchangia radio Imani wameyapangilia wahusika kwa utaratibu wao, na kama watamwalika aende kuendesha hiyo harambee hilo ni jambo jingine lakini si kujipeleka bila kuombwa au kuelekezwa na wahusika.
 
kama mbowe anawajali waislam.tutamuona uwanja wa taifa 18/12/2011 katika uchangaiji wa TV mpya ya kiislam. yaani TV imani.vyenginevyo tutaamini wamekatazwa na cdu

Zitto Kabwe naye alikuwa kwenye harambee ya kuchangia kanisa sikumbuki vizuri nadhani maeneo ya mkoa wa Dar au Pwani, na huko hakujipeleka, aliombwa au kuelekezwa na wahusika na mradi huo. Hatutaki watu wenye mwono finyu kama huu kwa sababu utaifa haujengi matabaka ya kidini, kikabila nk. Kumbuka tofauti za kiitikadi katika siasa ni kichocheo cha maendeleo na usitawi wa taifa.
 
Inatia shaka! Huyu mshikaji na msikiti wapi na wapi?!!!


Jeuri ya CCM mfukoni, maana makamanda sasa kila kona wanashambulia kama nyuki kwa kubadili mbinu kila kukicha. Pia makamanda kuombwa katika hafla mbalimbali sasa hivi ni mwendelezo usiokoma, maana huko ndiko chimbuko la wapiga kura na ninafasi ya kujitangaza kisiasa. Hii nimeipenda hadi Tanzania tukomae kwa siasa za kupinduana kwenye masanduku ya kura vinginevyo usahii huu chama kimoja kushika dola miaka nenda rudi unazidi kudidimiza nchi.
 
Usipende KUKURUPUKA mjomba,soma line kwa line,neno kwa neno.Mtoa mada mwishoni kabisa amesema source ni IPP MEDIA,sasa Majira imetoka wapi?Au Majira inatoka Ipp siku hizi?
Usipende KUKURUPUKA mjomba. Mwanzisha uzi alitaja source: majira. Baada ya kuamshwa kutoka usingizini ndipo akaedit. Akabadili kuwa Nipashe. Fatilia vizuri kabla ya kulaumu.
 
Tutawadanganya kwa kutoa ahadi hewa ya miliono 20. Nani achangie upuuzi wa redio ambayo kutwa nzima watangazaji wake wanahubiri chuki za udini????
kama anachangia kweli.tutamuona katika harambee ya redio IMANI
 

Nafikiri hapa siasa inachukua mkondo wake.

Iweje aje Zitto kumsindikiza Mbowe kwenye harambee wakti kuna Ndesamburo na Yule wa Rombo? au ndio shoka haliwezi kukata miti mpaka litiwe kipande cha mti(mpini).

Na nazidi kuunga mkono maneno ya FF. Msikiti huo uitwa masjid al Bilicanas. Na kibla yake iangalie kule Bilicanas ilipo Dar.

 
Habari hii ni wizi wa mchana na uzushi mkubwa,mleta mada amesema source ni majira wakati mi ninalo gazeti hilo apa mkononi habari hiyo haipo,na ninayo magazeti ya majira ya tangu jumamosi. jamani mbona jamii forum inazidi kupoteza dira na mwelekeo?


vilaza utawajua tu, hebu soma hyo habari mpaka mwisho wapi wamekuambia majira, as a source, mie nimeona ippmedia. na ukiclick on the link inakuonesha source nipashe. acha uvivu.
 


Kweli elimu ni muhimu sana, kwani hiyo sadaka unatoa matope au pesa? mwombe ALLAH basi ashushe mabati na cement kutoka mbinguni.
 
Kamanda umetoa ujumbe mzuri juu ya utofauti wa udini na siasa,swala kumpata kiongozi bora ili atuletee maendeleo na si udini.Hongera sana waislamu wa Hai kwa kuofungwa kifikra na mambo ya udini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…