Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama

kutoa hoja ilifkia wapi

kwani tume ya maadili si inawahoji watu wankiri makosa yao what act has been taken
 
Laiti TISS wangeweka list yote ya watu walio katika payroll yao, watu humu wangeshindwa kutazamana!. Thanks God Tuliojaliwa jicho la Tatu, "third eye", tunawaona machoni hadi miyoni mwao!, wakati wengine ni wapinzani kweli!, kuna wenzao ni wapiga dili tuu na wafanya biashara ya siasa!.

Pasco

Mkuu pasco upo sawa kabisaa hapo,wanajifanya wapenda demokrasia kumbe wanatunisha mifuko kutoka ccm,ipo siku watajulikana na ukweli utawekwa wazi.
 
Halafu sijui baraza la wazee wa cdm wanafanya kazi gani......suala kama hili wazee wangetakiwa walimalize!!!!!!!!!!!!!

Wewe ulitaka wazee wakae na msaliti ili wamalize kitu gani? Zitto ni msaliti wa demokrasia na amevuna alichopanda. Ngoja tuone kama Wassira ataendelea kumpa pesa za walipa kodi baada ya mpango wao kubuma. Kumbuka Wassira aliishaitangazia CDM kifo kwa kubase kwenye mipango yake na Zitto.

Kwa heri Zitto, mfuate kaka yako Amani Kabourou, rudi CCM ili uonyeshe sura yako halisi.

Tiba
 
Matukio kama haya yananikumbusha mbali sana .....!

Chacha Zakayo Wangwe.jpg
 
Inaonaka wazi Maamuzi ya Mbowe ndani ya Chadema hakuna wa kupinga, anaamuwa atakavyo kaitika vikao vyao ni amri na utekelezaji tu,nadhani wajumbe wote wanamuogopa Mbowe.
 
Ukweli ni kwamba Zitto aliipitisha chadema Ktk nyakati ngumu sana na alitishia ustawi wake, ni bora kumuondoa mapema kuliko kumuacha yakawa majanga!!!kama chama hiki kisingekuwa mpango wa Mungu kwa mkono wa zito sasa hivi ingekuwa NCCR nyingine!!!zito is a charismatic leader na ni pengo kubwa ila ni bora kukosa huduma yake kwasasa ili kuwa na uhakika na ya baadae!!!!
 
fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama

Nnashangazwa na wepesi wa hoja zako... Usalama wa taifa moja ya sifa zao kuu ni kung'ata na kupuliza papoe. Amka ndugu.
 
mkuu mimi ni mwanachama wa CDM sio mwanachama wa ZITTO.......ila ukweli utabaki palepale pengo lake lazima litaonekana

Inawezekana ukawa unadhani unachokiongea ni ukweli kumbe upo Analogy!
Suala la Zitto halijaanza jana, na Zitto hajaanza kuwa nje ya cdm jana, na kwa taarifa ni kwamba, chama kilichotarajiwa kufa mwaka jana kimekipeleka chama tawala icu, tena bila kuwa na Zitto,Unaonaje ukaenda kufanya Homework yako Vizuri?
 
fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama

Hajavuliwa madaraka kajivua mwenyewe kwa kukiuka katiba ya chama inayozuia masuala ya chama kupelekwa mahakamani na anayekiuka anakuwa kajifukuzisha kazi mwenyewe.
 
Yote ni kutafuta popularity na misifa ili kuficha ugonjwa alionao wa usaliti.

Hakuna mboe hataki challenge anataka chama kile uenyekiti wake usiguswe ukionyesha nia ya kutaka kumtoa uenyekiti unakuwa msaliti km walivyomuondo chacha wangwe
 
Hakuna mboe hataki challenge anataka chama kile uenyekiti wake usiguswe ukionyesha nia ya kutaka kumtoa uenyekiti unakuwa msaliti km walivyomuondo chacha wangwe

Zitto alionekana Mbaya,Msaliti baada tu ya kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti wa chama,hadi CEO wa CHADEMA mzee Mtei na wenzake wakamwambia Zitto atoe jina lake,mengine haya ni mbwembwe tu,tatizo UENYEKITI.

Dada umenena
 
fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama


Wewe mjinga kweli Mansour aliyekuwa waziri na Mwakilishi wa Mwanakwerekwe alipofukuzwa na ccm kwa kuunga hoja ya serikali tatu,ccm imefanyaje?

Kila anayemlilia Zitto msomi akaanzishe chama cha wasomi wasaliti tuone watafika wapi na Kadawialiyefukuzwa Cuf
 
Back
Top Bottom