Mnyalu Junior
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 573
- 199
Maskini Zitto!!
Hicho chama nyie ndo mme chelewa kuki faham mdomana kinawapa tabu nichama cha kifamilia hicho ndomana kime jaa wachaga
Mtu kama zitto ukimfukuza bila kuwa na vithibiti vyote angewahadaa wananchi kuwa tumemwonea na amefukuzwa kwa hisia tu bila Ushahidi. Hivyo ilibidi zikusanywe taarifa zote muhimu na kusomwa kwa nyendo zake zote pamoja na ushahidi ili siku ya kufukuzwa ashindwe pa kujitetea-KITU AMBACHO NDO KIMEFANYIKA NA ZITTO HADI MUDA HUU HAAMINI AMINI TECHNIQUES ZILIZOCHEZWA MPAKA AKAJIKUTA ANAJIFUKUZISHA MWENYEWE KIULAINI ....i mean kwanini hamjamfukuza muda wote?
Mweneykiti wa cdm anaogopa kivuli cha mwanachama aliyemfukuza?''.....na atambue damu iliyopotea kwa ajili ya chama hiki. A simple is that. Labda mtu akisema tuna mgogoro na Zitto magazeti yanaandika, kwahiyo tukae tuongee na Zitto! Tuongee nae nini? Usaliti ndani ya chama hiki hatuuvumilii kwa gharama yeyote. Period! Usaliti ni tisho.
Kwamba wewe upo na mwenzako hapa tunapanga namna ya KUSHIKA DOLA, unalala usiku na mchana mnakuta mwenzenu asubuhi anatoka anakwenda Usalama wa Taifa kupeleka information zenu!
Halafu mnaniambia tuongee kuhusu Zitto! Zitto? Anaunda chama yupo ndani ya chama tumvumilie? 'kamanda tafadhali ee'. Hatuna chuki na mtu binafsi lakini nawaambieni, hatuta entertain ujinga huu. THIS IS THE WAR.
Mtu yeyote atakayefanya kazi ya kutuuza, na siyo Zitto tu, wako wengine wengi tu. Tukiwakamata! Yule jamaa pale kasema sijui lakini mimi sijasema. Jamani naomba niwashukuru''.
Mwisho wa kunukuu. Matumizi ya neno ''THIS IS THE WAR''
Sikiliza:
View attachment 234986