Mbowe anusurika kifo mara tatu


Mtu ukimpa tisheti na kofia na akinamama ukiwapa Khanga ikifika siku ya kupiga kura hawezi kukupigia kura atakwenda kupiga atakwenda kuchagua atakapo! Yani huo ndo ukweli! Lakini mtu akikuchangia japo ata kama ni coin" siku ya uchaguzi lazima akamchague yule aliemchangia! Hawezi kabisa kuharibu kula Yake kwa kuchagua mtu tofauti huu ni Ukweli usiopingika ni sawa na kiongozi alieingia madarakani kwa kununua uongozi na kusapotiwa kifedha na matajiri, akiupata uongozi kazi Yake kubwa itakua ni kujilipa na kulipa fadhila za hao waliomuwezesha kupata uongozi na si kuwatumikia wananchi Na maslahi ya inchi! Hapo ndipo wanakuja sasa kua na majina ya Mafisadi na utawala usio wa haki sawa! Na kukandamiza wanyonge na kuzima sauti za watetezi wa haki kwa nguvu kwa kutumia dola na hata kumwaga damu! Tujaribu kuyatafakari maneno mazuri ya Waziri mkuu mstaafu Mh Fredriki Sumaye anayosema juu ya wanasiasa wanaoingia ikulu kwa fedha na Ndio hao wanaozuia wanasiasa wenzao wasiingie ikulu kwa mtutu wa Bunduki! Viva Chadema
 

Ningekushauri ufute huo usemi kwenye red, CDM itaingia tu ikulu, CCM imekufa na mbadala ni CDM tu ndiyo maana tunawashauri wajitayarishe kisaikologia. Material conditions kwa sasa zinaita mabadiliko makubwa katika nchi, kwa hiyo hakuna suala la CCM kubaki na tunawaomba chonde chonde wasije wakaleta mauaji hapa nchini, wakubali mabadiliko kwa amani kabisa.
 
Mbowe dumu, umeiongoza vema CDM. Ukiwa na Mungu usihofu, atakulinda.
 
bila ukakamavu hakuna ukombozi , ndiyo maana tumewavisha magwanda .
 

Cjaona hoja ya maana ya kuwaambia wana meatu zaid ya hzo weak threads tu,kifup hana jipyaa ataanza hadi tangaza idad ya watoto aliowapata kwa viti maalum wa cDm!!!!pole yako mleta uzi dhaifu.
 
I really find this message of Mbowe very confusing. Tumesikia eti hati gari lake ameandika maneno kama anaacha usia, au mtu ambaye ana hatimaya ya kuuwawa au kufa kimazingara.

Kufa ni wajibu, lakini hapa naona kama vile umma unatayatishwa kwa jambo fulani baya kinachojulikana na wachache ndani ya Chadema.

Huyu Bw anahitajika kupeleka ushahidi polisi lile bomu la arusha, kwa hivyo anajua kuna tegemeo la kushikwa na kufungiliwa hatia. so why not prepare the people by feeding them wrong information and win them to your side. Nina imani serekali imejiweka tayari na hata jiingiza kwenye huo mtego wa panya
 
umaarufu wa Mbowe hauhitaji magumashi mengine , Lukosi hata ukichanganya umaarufu wa ukoo wako wote na majirani zenu , fufueni hata waliokufa , hamtaweza kufika hata robo ya umaarufu wa mbowe .

We mbowe n maarufu labda kwenye ukoo wenu,Lukosi kapost fact kabsa.
 
na pengine ni zaidi ya hayo majaribio, inawezekana kuna hata yale ambayo hakuyashtukia; na Mungu akayapitisha mbali, viva cdm
 
NTUZU kwetu ni ndoto za mchana Mytopia
  • Lakini mtu akikuchangia japo ata kama ni coin" siku ya uchaguzi lazima akamchague yule aliemchangia! Hawezi kabisa kuharibu kula Yake kwa kuchagua mtu tofauti
Kiongozi gani wewe amekuchangia? au n i wewe unayetoa. Kaa ufahamu sio wote wanafuata Itikadi yako wewe chagua umependae na hulazimishwi kwa vile mm nimepewa Khanga na Kofia.
  • Tujaribu kuyatafakari maneno mazuri ya Waziri mkuu mstaafu Mh Fredriki Sumaye anayosema juu ya wanasiasa wanaoingia ikulu kwa fedha na Ndio hao wanaozuia wanasiasa wenzao wasiingie ikulu kwa mtutu wa Bunduki!
Ni Kiongozi gani wa Siasa ambaye hana pesa au ni msafi unayemuona bora aende Ikulu
MBOWE na SUMAYE wamekopa mamilioni huko kwenye Mifuko ya jamii na Kesi zao zipo zinaminywaminywa leo unatuletea Siasa za kushikiliwa kichwa majukwaani eti kuna watu wanafadhiliwa na matajiri ili waingie Ikulu ( CCM, CHADEMA, CUF vyote vina viongozi matajiri wanaoviongoza na pia wanaofadhiliwa na Nchi za Nje)
Hebu rudi tena kwa ufasaha na ndoto zako za Helkopta
 
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?

Inaonekana hata mataahira ama wahanga wa madawa ya kulevya wana madaraja. Hasa wewe cjui akili yako iko upande/daraja gani maana umeshindwa kutenganisha Kiongozi wa Siasa na Kiongozi wa Dini. Hivi kichwa yako ina-mtindio wa ubongo ama ni bange ulizovuta kabla hujaingia humu jamvini? Restart your memory please!! Loading . . . . . . . . . . . . . . . . .
 
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?

Inaonekana hata mataahira ama wahanga wa madawa ya kulevya wana madaraja. Hasa wewe cjui akili yako iko upande/daraja gani maana umeshindwa kutenganisha Kiongozi wa Siasa na Kiongozi wa Dini. Hivi kichwa yako ina-mtindio wa ubongo ama ni bange ulizovuta kabla hujaingia humu jamvini? Restart your memory please!! Processing request . . . . . . . . . . . . . . . . .
 
KIONGOZI hilo nalo neno, kuanzia kwa katibu na sasa m/kiti na Mbunge wa viti maalum Arusha wameoana na sasa bibi huyo yuko Dubai. Angalia mh. wewe kama kioo cha watu unafanya utumbo huo huoni noma. kweli tunaupinzani feki

Mkuu unaonekana wewe ni mashuhuri kwa kushikia miguu watu wakati wanashughulika na wake zao, inaonyesha ulikuwepo na huenda ulimshikia miguu wakati mbowe anamuoa huyo mtu wako? Kweli nimeamini usemi wa wazungu, you must be among little/small mind, cause you are discussing people instead of ideal, Ongeza upeo kidoogo japo ni shule za kata!
 

Wewe kweli nimefurahi, hivi polisi kazi yao sikuhizi ni kupelekewa ushahidi, sio kutafuta ushahidi? au wamebadirishiwa majukumu, Inabidi amiri jeshi atangaze hadharani kuwa polisi sasa kazi yao ni kukaa ofisini na kuletewa ushahidi, Siku ya tukio polisi pia walikuwepo! Lakini kama majukumu yamebadilishwa fine wacha wasubiri waletewe ushahidi!
 

Mkuu katika michango yako kwakweli mi inanifurahisha, kwanza unaonekana kama unakuwa unaharaka, pili naona kama huwa hufikiri, tatu unaonekana kama unakuwa na point kabla hujachangia ila ukianza kuandika tuu, point zinaondoka, mtoto wa Grade Three kichwa, hawezi kuandika mambo unayo yaandika humu jamvini, hivi ulifika form four kweli? na ulipata division ngapi? nakushauri point ziandike kwanza siku nzima, meditate na upeleke kwa mtu mwenye hekima kabla hujaposti!
 
Pole sana Mhe. Mbowe! Ni nani huyo aliyefumbwa ufahamu hata asione adha wanazopata wapinzani wa kweli bila sababu yoyote katika nchi yao wenyewe? Nani asiyefahamu bomu lililorushwa Ars lilikukosakosa wewe binafsi Mhe Mbowe? Nani asiyefahamu mamluki ndani na nje ya CDM wanaotafuta roho za makamanda mliojitolea kafara kwa sababu ya taifa hili? Waliofumbwa ufahamu, hatuna la zaidi kuwaambia ila kuwaombea mpaka tutakapoonana KANANI.
 
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?

ukiondoa herufi moja ya kwanza ya username yako unapata nini?? Basi ndivyo kichwa chako kilivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…