Mbowe anaidai AIR TANZANIA 2bn

KirilOriginal

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2012
Posts
2,161
Reaction score
1,147
Hawa Ghasia alileta ghasia kumshambulia Mbowe kwamba anadaiwa na LAPF. Ghasia fahamu kwamba ni seriali yako unayoitetea ambayo Mbowe anawadai
2bn kupitia Air Tanzania.

Wamlipe kwanza Mbowe fedha zake.
 
Hawa Ghasia alileta ghasia kumshambulia Mbowe kwamba anadaiwa na LAPF. Ghasia fahamu kwamba ni seriali yako unayoitetea ambayo Mbowe anawadai
2bn kupitia Air Tanzania.

Wamlipe kwanza Mbowe fedha zake.

Mkiwa mna nia ya kutetea watu muwe composed sio kukurupuka tu!!!!!!!
Unaweka mazingira ya kuwa halipi sababu anadai serikali kitu ambacho sidhani kama una uhakika nacho!!!!!!

Unaweza dhani unajenga kumbe unabomoa!!!!
 
Mkiwa mna nia ya kutetea watu muwe composed sio kukurupuka tu!!!!!!!
Unaweka mazingira ya kuwa halipi sababu anadai serikali kitu ambacho sidhani kama una uhakika nacho!!!!!!

Unaweza dhani unajenga kumbe unabomoa!!!!
Maana yake ni kuwa, Wakisha net off ndipo Ghasia aje tena kujamba jamba
 
Mkiwa mna nia ya kutetea watu muwe composed sio kukurupuka tu!!!!!!!
Unaweka mazingira ya kuwa halipi sababu anadai serikali kitu ambacho sidhani kama una uhakika nacho!!!!!!

Unaweza dhani unajenga kumbe unabomoa!!!!

Unachokisema ni kweli.Kama amechukua mkopo si kosa kosa ni kutolipa!Lakini kama amechukua na amekwisha lipa kama alivyosema basi Serikali imlipe deni lake.

Sioni sababu ya kuvurugana.
 
Leta hapa na terms za mkopo

Mimi sio party katika mkataba huo kwa hivo sina hizo terms......

 
Hawa Ghasia alileta ghasia kumshambulia Mbowe kwamba anadaiwa na LAPF. Ghasia fahamu kwamba ni seriali yako unayoitetea ambayo Mbowe anawadai
2bn kupitia Air Tanzania.

Wamlipe kwanza Mbowe fedha zake.

Usiwe Condom, toa maelezo ya hayo madai ya Dj Mbowe!
 
kweli mikopo tanzania ni hatari

unakopa milioni 15

ndani.ya miaka 24 unalipa milioni 65

ila balance ya deni iliyobaki ni milioni 1,200

kazi kweli kweli
 
Kama kuna ukweli wa Mbowe kutotimiza ratiba ya malipo atakiwavyo na masharti ya mkopo - kwa nini hao NSSF wasichukue hatua za kimkataba badala ya kulalama? Hakukuwa na dhamana? Hakuna mahakama? Au ndio uongozi ulikula pasenti na ndiyo maana kuna kugwaya?
 
Maana yake ni kuwa, Wakisha net off ndipo Ghasia aje tena kujamba jamba

Hapana hauko sawa yaani unataka kusema kuwa halipi sababu hajalipwa!!!!!?????
Hii ni kwa mke na mume ndani sio pesa za taasisi......yaani mfuko ukonde kisa shirika/serikali haijalipa mdeni wa shirika kwani mchanganuo wa mkopo unahusisha yeye kudai kwingine!!!!??????

Kama ingekuwa hoja yako na mtoa mada ni kweli na ndio sababu hizo basi mnamuweka kwenye mzani juu ya dhamira na kuaminiwa kama kiongozi!!!!!!!

Naamini yeye asingewweza kusema kuwa halipi huku sababu na yeye anadai sehemu fulani!!!!!!
 
Unachokisema ni kweli.Kama amechukua mkopo si kosa kosa ni kutolipa!Lakini kama amechukua na amekwisha lipa kama alivyosema basi Serikali imlipe deni lake.

Sioni sababu ya kuvurugana.

Kwani serikali imesema haimlipi sababu na yeye anadaiwa na mfuko wa jamii?????!!!!!
 
Mbowe ameifilisi chadema sasa amehamia kwenye mifuko ya jamii inayoweka akiba za wastaafu..
 
Kwa hali namnukuu mpoto"Waliopo hatuwataki,tunaowataka hatuwaamini"
 
Kwani serikali imesema haimlipi sababu na yeye anadaiwa na mfuko wa jamii?????!!!!!

Hapana sikuwa na maana ya kuwa sababu hajalipa basi serikali imekataa kumlipa,labda Kiswahili changu hakikueleweka vyema.

Ninamaana kwamba serikali inawajibika kumlipa na pia Mbowe anawajibika kulipa,na hata kama kampuni zake zilikopa basi aishinikize kampuni zake zilipe,ili atundee haki wanachama wa CDM kwa kulipa deni hilo.Maana wakati tunawaanyoshea vidole watani zetu CCM basi huku kwetu tuwe wasafi na weledi uliotukuka.Hivyo tu.
 
Mnajitahidi sana kumuosha Mbowe na matope!.

Kuna wengine wanajifanya watetezi wakati hata hawafamu kile wanachokitetea. Akili za kivyama ziwewakaa kwenye kope bila kufahamu kuwa Mbowe kwenye biashara zake hana vyama. Na kwa kutokuwa na vyama kwenye biashara zake, ndiyo maana kwake kwenda kunywa juice State House na dhifa mbali mbali za Kitaifa haimpi shida.

Mambo ya siasa tuyaache kwenye siasa kwa sababu tukianza kufungua a can of worms, hapatakalika.

Wajinga ndiyo waliwao!.
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu? Intarahamwe walisha watu maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…