Mbowe anaidai AIR TANZANIA 2bn

Mbowe anaidai AIR TANZANIA 2bn

Mbowe ameifilisi chadema sasa amehamia kwenye mifuko ya jamii inayoweka akiba za wastaafu..

Hebu kuwa na akili wewe, Mbowe alikopo mwaka 1990 kwa ajiri ya perxonal business issues wakati huo nchi ikiwa bado ya chama kimoja hata chadema haijulikani. Na kumbuka Chadema ni chama cha Mtei, baba wa Lilian Mtei, ambaye ni mke wa Mbowe, anacho kula ni cha mkwe so mnyamaze.
 
Hapana sikuwa na maana ya kuwa sababu hajalipa basi serikali imekataa kumlipa,labda Kiswahili changu hakikueleweka vyema.

Ninamaana kwamba serikali inawajibika kumlipa na pia Mbowe anawajibika kulipa,na hata kama kampuni zake zilikopa basi aishinikize kampuni zake zilipe,ili atundee haki wanachama wa CDM kwa kulipa deni hilo.Maana wakati tunawaanyoshea vidole watani zetu CCM basi huku kwetu tuwe wasafi na weledi uliotukuka.Hivyo tu.

Yaani wote wapenda vyama wangekuwa objective kama wewe saa hizi wanasiasa wa hovyo wote wangeshakimbia vyama!!!!!!!!
 
So mbowe amekwambia akilipwa na atcl ndo ataenda kulipa deni la nssf?

Katika terms za mkopo walikubaliana kuwa kama kama anaidai govt hatalipa mkopo hadi yeye alipwe.

Sijui mnapata faida gani kuwatetea hao wanasiasa wenu.

Mnakera sana.
 
Hawa Ghasia alileta ghasia kumshambulia Mbowe kwamba anadaiwa na LAPF. Ghasia fahamu kwamba ni seriali yako unayoitetea ambayo Mbowe anawadai
2bn kupitia Air Tanzania.

Wamlipe kwanza Mbowe fedha zake.

Unaijua 2b wewe au unaisikia? Ruzuku kila mwezi mnachukua 200m, azikusanye mpaka zifike 2b unafikiri babu slaa atakubari akae bila kupata mgao wake akatanue na mchumba wake kwa wakati wote huu??!.
 
Yaani wote wapenda vyama wangekuwa objective kama wewe saa hizi wanasiasa wa hovyo wote wangeshakimbia vyama!!!!!!!!

OLESAIDIMU,kila mtu anafikiri kulingana na akili na uwezo alionao na uwoga kwa mwenyezi Mungu.Ndugu yangu hakuna kitu kizuri kama kuwa na mawazo yako binafsi bila kulazimishwa na mtu kwa kuhongwa au kupewa uongozi.

Na mwisho mimi ni Mtanzania,nchi yangu ni Tanzania,na hivi havitakaa viniondoke hata nikifa,lakini naweza kuhama CHAMA pale ninapoona hakina maslahi kwa Taifa langu.Kwangu Tanzania kwanza Chama baadaye.
 
OLESAIDIMU,kila mtu anafikiri kulingana na akili na uwezo alionao na uwoga kwa mwenyezi Mungu.Ndugu yangu hakuna kitu kizuri kama kuwa na mawazo yako binafsi bila kulazimishwa na mtu kwa kuhongwa au kupewa uongozi.

Na mwisho mimi ni Mtanzania,nchi yangu ni Tanzania,na hivi havitakaa viniondoke hata nikifa,lakini naweza kuhama CHAMA pale ninapoona hakina maslahi kwa Taifa langu.Kwangu Tanzania kwanza Chama baadaye.

Nakusoma Tetty my dada uko sawa sana sina jinsi ya kukubali zaidi !!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
So mbowe amekwambia akilipwa na atcl ndo ataenda kulipa deni la nssf?

Katika terms za mkopo walikubaliana kuwa kama kama anaidai govt hatalipa mkopo hadi yeye alipwe.

Sijui mnapata faida gani kuwatetea hao wanasiasa wenu.

Mnakera sana.

Kimya sanaaaaa wewe mtu!!!!!!!???????
Not Sicilian way..........................
 
Hawa Ghasia alileta ghasia kumshambulia Mbowe kwamba anadaiwa na LAPF. Ghasia fahamu kwamba ni seriali yako unayoitetea ambayo Mbowe anawadai
2bn kupitia Air Tanzania.

Wamlipe kwanza Mbowe fedha zake.
Weka ushahidi mkuu siyo maneno matupu, anawadai vipi aliwakopa au aliwauzuia bidhaa?
 
uuupuuuuzi tu huo,hamna ATC kudaiwa na Mbowe wala mavi ya Mbowe,ni madeal tu hayo. UWIZI MTUPU WA WANASIASA TZ MNAWATUMIKIA KUTOANA ROHO
 
Hivi ukikopa ukachelewa kulipa wewe ni mwizi?Basi kama ni hivyo kweli Tanzania sisi na serekali yetu ni majambazi sana.
 
kwa hiyo hesabu tu,mi naona kuna kupakana matope tu,mil 15 izae mil.65 + bil 1.2 ??????? Kwa mahesabu yapi kama riba ilikuwa asilimia30!???
 
Kimya sanaaaaa wewe mtu?
Not Sicilian way..........................

Nipo! naona tu tunavyowapa watu nguvu za kutuibia.

Tumeamua kuvipenda vyama vyetu kuliko Nchi.

Waliopo siwataki,wanaotaka siwataki pia!!
 
Back
Top Bottom