Mbowe anafanana na Nyerere

Mbowe anafanana na Nyerere

Ni Dharau kubwa kumfananisha baba wa taifa na huyu muhuni anayemiliki danguro!
 
Ni kweli kuwa Mbowe wanashabihiana kwa kiasi kikubwa na JKN japo zama zinatofautiana... Wakati Nyerere aliongoza harakati za kudai Uhuru wa Tanganyika iiyokuwa chini ya Utawala wa Mwingereza; Mbowe yuko Mbioni kuing'oa Utawala wa CCM wenye kufanya Dhuluma kubwa kwa Tanzania! Utawala huu dhalimu wa CCM ambao wanatumikia kila aina ya mamluki kuzuia harakati za UKAWA wanakila dalili ya kung'olewa hapo October! Chini ya Mbowe Wananchi wanamatumaini makubwa ya kuona kwa mara ya kwanza Almasi, Uranium, Dhahabu, Tanzanite, Ruby, Makaa ya Mawe, Chuma, Nickel, Granite, Gypsum, Sapphire zinawanuaisha wao kwanza... Mbowe hana price Tag ...
 
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
Mbowe ndiye Nyerere katika Tanzania mpya!
 
Wakuu

Kama nyerere aloanzisha Aliongoza TANU ,ikaungana na ASP na kuwa CCM

Na Mbowe ataiongoza CHADEMA ,ikaungana na CCM na kuzaa chama kipya!

TUSUBIRI

Rabbon uje uone HUKU
 
Hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. Elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?
huu upumbafu wako ndiyo umekufanya uwe jinsi ulivyo kwa uishivyo...
 
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
FB_IMG_1654103401853.jpg
 
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
WEWE UNAFANANA NA MAGUFULI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu

Kama nyerere aloanzisha Aliongoza TANU ,ikaungana na ASP na kuwa CCM

Na Mbowe ataiongoza CHADEMA ,ikaungana na CCM na kuzaa chama kipya!

TUSUBIRI

Rabbon uje uone HUKU
Nimewahi kuongea na MAKADA wazoefu wa KIJANI, wanasema Mbowe ni MTU na NUSU.

Ktk kusuka mikakati ya chini Kwa chini, ujasiri,uthubutu nk wanamuheshimu sn.

Tumia AKILI kumlinganisha Mbowe na Nyerere Kuna lugha na ujumbe "anatufikirisha" ngoja nami nitumie akili yangu.
 
Nimewahi kuongea na MAKADA wazoefu wa KIJANI, wanasema Mbowe ni MTU na NUSU.

Ktk kusuka mikakati ya chini Kwa chini, ujasiri,uthubutu nk wanamuheshimu sn.

Tumia AKILI kumlinganisha Mbowe na Nyerere Kuna lugha na ujumbe "anatufikirisha" ngoja nami nitumie akili yangu.
Ktk vyama ambavyo uanzishwaji wake Serikali haikutia mkono wake moja Kwa moja ni CDM, why?

Nyerere ajua, alisema ktk vyama ambavyo viko serious kuleta upinzani wa Kweli Nchi hii basi ni CHADEMA.

Na wakati huo CUF ndo ilikuwa nguvu hatar na NCCR bara. Na wakati huo Mbowe alikuwa kijana umri wa miaka 30 tu.

Amewahi kutishia kurudisha kadi yake no1, Swali nalojiuliza ni kuwa Nyerere aliota au Iko namna alianza kuitazama CDM ije kuwa ilivyo baada ya kuona CCM imeingiliwa?

Mwenye historia ya Mh Mbowe tafadhali share nasi.
 
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
MBOWE Hana uchu wa madaraka kama alivyokuwa NYERERE Amegombea Urais mara moja tu, baadae amewapa fursa wengine wagombee kama Dr Slaa, LOWASSA na badae Lissu.
 
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
Mbowe anafanana na Nyerere: mm nataka nimfananishe Mbowe na Nyerere Kwa kuangalia picha ya Nyerere na picha ya Mbowe nikilinganisha na picha za watoto wa Nyerere kama Madaraka na Makongoro.

Unajua inawezekana Mbowe alimpenda Nyerere na itikadi zake Hadi sura yake ikaanza kufanana na ya Nyerere na familia yake.

Hata mke na mume wakipendana saaaana, sura Huwa zinafanana.
 
Mbowe anafanana na Nyerere: mm nataka nimfananishe Mbowe na Nyerere Kwa kuangalia picha ya Nyerere na picha ya Mbowe nikilinganisha na picha za watoto wa Nyerere kama Madaraka na Makongoro.

Unajua inawezekana Mbowe alimpenda Nyerere na itikadi zake Hadi sura yake ikaanza kufanana na ya Nyerere na familia yake. Hata mke na mume wakipendana saaaana, sura Huwa zinafanana.
Mkuu
Asante KWA tafsida

Hukutaka kumkosea heshima Baba wa Taifa

Kweli wanafanana Sana!
 
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
Acha kumdhalilisha hayati. Wa kufanana ndio huyo faru John gaidi?
 
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
.
 
Back
Top Bottom