Mbowe anafanana na Nyerere

Mbowe anafanana na Nyerere

Hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. Elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?
5. nyerere hakupenda watu wa huko kwa akina-mbowe, na makabila mengine fulani-fulani. aliogopa hata kuwapa madaraka kwa kuwa walikuwa 'super' (kwa alivyoona yeye) kwa hiyo alikuwa mkabila
8. nyerere alikalia kiti cha uraisi mpaka akachakaa
10. kwa jinsi alivyoshika madaraka, nyerere hakuwa tofauti na mfalme. tena alimzidi mbowe!
 
Hawafanani kwa lolote, kuazia usomi hadi uongozi.
Nyerere hakukodisha magari yake kwa TANU, achilia mbali kuwa Mbowe hajawahi kuandika falsafa na maono yake popote.
 
Mzee Aikaeli Mbowe alikuwa rafiki wa Nyerere. Ndiye aliyefanikisha safari ya kwanza ya Nyerere Un- New York
 
Unauwezo wakufikiri mdogo sana,hivi aliyetunga sheria ya ndoa ya mwaka 1971,inayosema uzinzi sio la jinai ni Mbowe au ccm?

Aliyetunga sheria,ambayo inaruhusu mtu anayeachana na mke na kuacha watoto watunzwe na mtu / ndugu mwenye uwezo tu na si mzazi( baba) ni Mbowe au ccm?


Wabunge ambao wamekuwa Mawaziri,lakini hawana waume ila wana watoto ni Mbiwe ameruhusu au ccm?


Walioruhusu uchaguzi wa wabunge na Madiwani urumie rushwa ni Mbowe au cvm?

Walioruhusu viongozi wa umma kuwa na hisa katika makampuni ni Mbowe au ccm?

Waliofuta mapendekezo ya katiba ya wananchi,iliyozuia watu wasiweke fedha nje ya nchi,wakipewa zawadi irudi serikalini ni Mbowe au ccm?

Mbowe na ccm ni watu wawili tofauti kabisa,jifunze zaidi,hakuna dhambi ambayo ccm mtaiondoa na ndio itakuwa mwisho wa chama chenu kama mtafuta rushwa,wizi na ubinafsi ndani ya ccm!



Hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. Elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?
 
Hata katiba ya 1977 imejaa kifalme,na hii imewafanya ccm waishi kifalme,ili kila anayekuja afanane madaraka yake kama mfalme Nebkadneza!



QUOTE=idoyo;12740351]5. nyerere hakupenda watu wa huko kwa akina-mbowe, na makabila mengine fulani-fulani. aliogopa hata kuwapa madaraka kwa kuwa walikuwa 'super' (kwa alivyoona yeye) kwa hiyo alikuwa mkabila
8. nyerere alikalia kiti cha uraisi mpaka akachakaa
10. kwa jinsi alivyoshika madaraka, nyerere hakuwa tofauti na mfalme. tena alimzidi mbowe![/QUOTE]
 
Msingi wa post hii ni kuonesha kuwa hata Nyerere alitawala ndani ya chama zaidi ya vipindi viwili
 
hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?

vipi ambao kila siku wanasafiri kuna nn wanaenda kufanya huko,madaraka gani wanayo ng'ang'ania?
Hao wenye elimu wamefanya nn?
 
Nina uhakika hata mfalme jua halipi hii thread, maana mleta uzi kaleta uwongo hata nkurunziza wa ufipa ataustukia
 
Kuna tofauti pia:

Nyerere ni kati ya viungo wauwaji wa Tanganyika wakati Mbowe nj kati ya viungo mhimu wanaoipigania Tanganyika yetu..
 
Hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. Elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?

Kipind cha utawala wa Nyerere hakukuwa na ufisad kama huu, ccm ya sasahiv ya kukumbatia mafisad na wauza unga akiwa mtoto wa mkuu, ccm ni zaid ya ebola mmeua kila kitu bado haitosh mnawaibia live Watanzania kwa kod za ajabu ajabu duuuh
 
Naongezea mawili mengine

1. nyerere hakuwahi kupata zero kwenye matokeo yake ya form 6

2.Nyerere hakuwahi kuuza unga

Ukome kabisa ku
linganisha Nyerere na mboooowe
 
Hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. Elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?
Hakuna kitu,Nyerere hakubadili katiba kwa masilai yake.
 
Back
Top Bottom