Mbowe anafanana na Nyerere

Mbowe anafanana na Nyerere

Tumia akili

Member
Joined
Apr 1, 2013
Posts
67
Reaction score
1,484
Nawasalimu JF!

Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM

Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio

Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mgombea uraisi katika muda walipokuwa hai/wanaongoza

Mbowe na Nyerere: Wametawala kwa zaidi ya vipindi viwili kama wenyeviti katika vyama vyao

Nafikiri ni muhimu kwa chama chochote kupata mtu wa kukaa nacho muda mrefu ili kukijenga. Nyerere alifanya hivyo na sasa Mbowe anafanya hivyo.

Kwahiyo,
Mbowe=Nyerere

Asanteni.
 
Hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. Elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?
 
Watu kama ninyi mnaitwa wapiga debe.

Hamna jipya isipokuwa kuwapamba na kuwatukuza viongozi ili muendelee kupata maslahi kutokana na maamuzi ya viongozi hao. Wapiga debe kama wewe ndo mnafanya kina Nkurunziza wawe tayari kuhatarisha amani ya nchi kwa kung'ang'nia madarakani.

Ninyi ni watu hatari kabisa na kiongozi anayeiamini na kutimiza yale anayoambiwa na wapiga debe anayo hatari kubwa ya kuwa kiongozi mbaya popote.
 
Mh! Hapo ni kama umemlinganisha lionel mesi wa barcelona dhidi ya haruna moshi wa faru dume ya manzese.....jipange upya mkuu
 
Mkuu Mandembao angalia kaka mkuu kesha saini ile kitu usije ukasema hujaambiwa.
 
Hahahahahahahaaaaaaaaa!vipi kuhusu haya?
  1. Elimu
  2. uzalendo
  3. kumiliki mali
  4. uzinzi
  5. ukabila
  6. uwajibikaji
  7. utawala wa sheria
  8. kung'ang'ania madaraka
  9. ufisadi
  10. ufalme nk?

Teh Teh hapo kwenye elimu sasa...
 
uongeza nyerere alileta uhuru wa bendera mbowe ataleta uhuru wa uchumi tz
 
Back
Top Bottom