Mimi nadhani uwepo wa Back up hautasaidia, maana itakuwa ni kama kuanza upya kuwabadilisha watu kutoka CHADEMA na kwenda huko kwingine. Hapo tunaweza kupotea kabsia kwenye ramani ya siasa za Tanzania. Cha msingi hapa ni kwamba kama chama kikifutwa ambacho ndiyo chombo chetu cha kutolea dukuduku na kudaia haki zetu, basi tutazidai haki zetu nje ya chama. Hapa yatakuwa ni maandamano yasiyo na mwisho.Ndio maana watu huuliza je CDM wamejiwekea Backup yoyote endapo kitafutwa?
Vyama vya upinzania vilivyo muhimu karibu vyote vina ndoa na CCM sijui kwa CCJ ambayo katiba yake kidogo inafanana na katiba ya TANU na sijui kama huko nako hamna mapandikizwa
Fujo kuliko hao wanajeshi mliopeleka huko Mtwara ambao kutwa wanabaka wake za watu halafu wanajitia wamefunga Ramadhani kama wewe?Hekima iko wapi hapo? naona uchochezi wa uvunjifu wa amani tu.
Ingeshangaza sana kama ungeona hekima katika kauli hiyo ya mbowe ilihali wewe umezoea hotuba za mbayuwayu na kong'ota. Umezoea hotuba za .... za kuambiwa changanya na za kwako, .... waliopata mimba ni kiherehere chao. Nawajua wafanya biashara ya madawa ya kulevya kwa majina. Uwepo wa foleni kubwa ni dalili za nchi kukua kiuchumi.Hekima iko wapi hapo? naona uchochezi wa uvunjifu wa amani tu.
Naomba ku-declare interest, mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini nina mapenzi na cdm kwa wakati huu. Wakikengeuka nami nageuka.
Kuna watu ukiwasikiliza na/au kusoma maandiko yao unafarijika kwamba tz bado tunao watu wenye upeo na uzalendo na wanaofahamu aina ya tanzania tuitakayo. Katika orodha hiyo ya watu wachache, MBOWE yupo. Mbowe ni kiongozi, akizungumza masikio yanasikia na moyo unapokea. Watu wa aina hii ni wachache, ni mfano wa Mwalimu
Hekima iko wapi hapo? naona uchochezi wa uvunjifu wa amani tu.
kumbe ukiwa muuza dawa za kulevya na kuendesha kumbi za muziki na kuuza pombe unakuwa na busara,
Halafu kumbe ukipanga na kusimamia mauaji ya watu unakuwa na busara kweli tanzania daima hakuna waandishi,
wengine wamebakwa, wengine wamewekewa chupa sehemu za siri, kwa sababu tu ya CHADEMA,.
Bora umwambie. Hawa wanzetu wana shida sana katika tafakari ya maneno ndiyo maana ukiangalia top leadership yao yote ni ya aina hiyo hiyo. Ni watu wa kuropoka tu. Katika safu ya uongozi ya CCM mtu anayejiheshimu ni Dr. Bilal tu. Hawa wengine wote ni mipasho kwenda mbele. Sasa watu waliozoea mipasho ya hivyo kamwe hawawezi kuona hekima katika maneno haya ya Mbowe.Hekima ni nini kwako???? au heshima sio hekima??
Au ulitaka aseme LIWALO NA LIWE....ANAEUA ALBINO AUAWE.....WAPIGWE TU,TUMECHOKA.....?
kama isingekuwa makeneza angalau kidogo lakini makengeza.
kama isingekuwa makeneza angalau kidogo lakini makengeza.