Ranks
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,583
- 1,098
Kabla ya kuanza kuongea Mh.Mbowe ukimya mkubwa hutawala....Sauti yake ya base ndogo hutoka kwa utaratibu huku ukipambwa na busara ya hali ya juu katika matamshi yake....huwa hayupo kubishana bali kueleza kile anachokiamini na ambacho chama cha demokrasia wanakusudia kufanya!
Nampa Heko sana....
Na zaidi hapendi kushangiliwashangiliwa na kukatizwa anapofunguka kama magamba wanavyopenda mijisifa ya kushangiliwa.