Chini ya jua lolote lawezekana.Tukanyage kwa adabu ardhi ya Muumba.
Wakati huo utakuwa ni hazard kwenu wabambikiaji, wanyanyasaji na waonevu.Labda rais wa tff
Kwani umesikia mbowe anataka urais?Dunia duara na wengine husema dunia mzunguko.
Walikuwapo kina Mandela, Kenyatta, Nyerere hata huyu wa Zambia. Katika harakati zao wakajitanabaisha ana kwa ana na watesi wao hadi jela zikawahusu.
Mungu si Athumani hivi nyote hata bila kuyataja majina yenu mnazijua hatima za watu wote?
Au ni yale yale ya kumlaumu Hamza Kasongo bila ya kuwa na neno lolote kwa madhulumati?
Dunia huzunguka na aliyekupa wewe leo ni huyo huyo aliyemnyima mwingine leo. Kwanini kutengeneza mazingira ya unasema wa kudumu?
Kwanini tusiwatendee wengine yale tu ambako tungependa wenyewe kutendewa?
Kundi hilo si lenu wanakijani,au?Kwani wewe tangia lini ulianza kuwa ndiye Mola mpaji?
Kwani wewe tangia lini ulianza kuwa ndiye Mola mpaji?
Mtu akisema shetani anaweza kuwa malaika wa Mungu wewe hapo utamsadiki?Kwani wewe tangia lini ulianza kuwa ndiye Mola mpaji?
HahahahahaaaDunia duara na wengine husema dunia mzunguko.
Walikuwapo kina Mandela, Kenyatta, Nyerere hata huyu wa Zambia. Katika harakati zao wakajitanabaisha ana kwa ana na watesi wao hadi jela zikawahusu.
Mungu si Athumani hivi nyote hata bila kuyataja majina yenu mnazijua hatima za watu wote?
Au ni yale yale ya kumlaumu Hamza Kasongo bila ya kuwa na neno lolote kwa madhulumati?
Dunia huzunguka na aliyekupa wewe leo ni huyo huyo aliyemnyima mwingine leo. Kwanini kutengeneza mazingira ya unasema wa kudumu?
Kwanini tusiwatendee wengine yale tu ambako tungependa wenyewe kutendewa?
Dunia duara na wengine husema dunia mzunguko.
Walikuwapo kina Mandela, Kenyatta, Nyerere hata huyu wa Zambia. Katika harakati zao wakajitanabaisha ana kwa ana na watesi wao hadi jela zikawahusu.
Mungu si Athumani hivi nyote hata bila kuyataja majina yenu mnazijua hatima za watu wote?
Au ni yale yale ya kumlaumu Hamza Kasongo bila ya kuwa na neno lolote kwa madhulumati?
Dunia huzunguka na aliyekupa wewe leo ni huyo huyo aliyemnyima mwingine leo. Kwanini kutengeneza mazingira ya unasema wa kudumu?
Kwanini tusiwatendee wengine yale tu ambako tungependa wenyewe kutendewa?
Nisiache kukumbusha kuwa jina Mbowe linasimama kwa niaba yake na washirika wake wote. Yeye akiwa hai, jela, huru au akiwa mfu, leo au hata baada ya miaka Mia.Amka kumekucha, kuna ndoto zingine ngumu kutokea.
Kwani umesikia mbowe anataka urais?
Duh! hapa nakwambia ukweli ndugu sishupazi shingo,Nisiache kukumbusha kuwa jina Mbowe linasimama kwa niaba yake na washirika wake wote. Yeye akiwa hai, jela, huru au akiwa mfu, leo au hata baada ya miaka Mia.
Acheni kushupaza shingo kama wale kenge madhulumati wa Hamza Kasongo.
Ndio yaleyale ya Mpemba hawezi kuwa Rais lakini Shein alipokuja mkanywea na ubaguzi wenu wa Kihutu.Mchagga kuwa Rais ngumu mno. Hata aende ccm hatapewa kugombea nafasi ya urais. Binafsi sipendi litokee hilo la mchagga kuwa rais. Ndugu zangu mtanisamehe, my opinion
Mtu akisema shetani anaweza kuwa malaika wa Mungu wewe hapo utamsadiki?
Duh! hapa nakwambia ukweli ndugu sishupazi shingo,
Kuna watu, nafasi flani haiwafai
Vinginevyo tutauzwa kwa vipande vya fedha.
Hahahahahaaa
hahahahahaaaa
hahahahaaaaaaaaaaaa
Acha stori za vijiweni wewe.Kwani wale kenge madhulumati wa Hamza Kasongo hawakuwa wakisema atawapata wapi?
Huitaji kuambiwa. Tabia za malaika na shetani zinajulikana. Kwa matendo yao mtawatambua. Matendo ya Mbowe na ugaidi wake tunautambua, ndiyo maana sasa hivi ananyea ndoo gerezani.Aliyekwambia anaongoza malaika unamsdiki?