Dunia duara na wengine husema dunia mzunguko.
Walikuwapo kina Mandela, Kenyatta, Nyerere hata huyu wa Zambia. Katika harakati zao wakajitanabaisha ana kwa ana na watesi wao hadi jela zikawahusu.
Mungu si Athumani hivi nyote hata bila kuyataja majina yenu mnazijua hatima za watu wote?
Au ni yale yale ya kumlaumu Hamza Kasongo bila ya kuwa na neno lolote kwa madhulumati?
Dunia huzunguka na aliyekupa wewe leo ni huyo huyo aliyemnyima mwingine leo. Kwanini kutengeneza mazingira ya unasema wa kudumu?
Kwanini tusiwatendee wengine yale tu ambako tungependa wenyewe kutendewa?
Walikuwapo kina Mandela, Kenyatta, Nyerere hata huyu wa Zambia. Katika harakati zao wakajitanabaisha ana kwa ana na watesi wao hadi jela zikawahusu.
Mungu si Athumani hivi nyote hata bila kuyataja majina yenu mnazijua hatima za watu wote?
Au ni yale yale ya kumlaumu Hamza Kasongo bila ya kuwa na neno lolote kwa madhulumati?
Dunia huzunguka na aliyekupa wewe leo ni huyo huyo aliyemnyima mwingine leo. Kwanini kutengeneza mazingira ya unasema wa kudumu?
Kwanini tusiwatendee wengine yale tu ambako tungependa wenyewe kutendewa?