Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Akiwahutubia maelfu ya waandamanaji katika mji wa Biharamulo leo Mh. Mbowe amesema, wamiliki wa mitambo hewa ya Dowans wamejitokeza wakimshawishi kumpatia fedha kwa njia ya rushwa ili Chadema isiendelee kufichua madhambi ya uhujumu uchumi unaofanywa na Dowans, kwa madai kuwa maandamano yanayofanyika hivi sasa yanaweza kusababisha serikali isilipe deni la Dowans.
Source: ITV saa 2.
Sikiliza kuanzia dkk ya 9:20
Source: ITV saa 2.
Sikiliza kuanzia dkk ya 9:20
Last edited by a moderator: