Mbowe akacha harambee ya kanisa Moshi!

Wakuu,
Leo nilialikwa kwenye harambee ya KKKT dayosisi ya Kaskazini, Usharika wa Longuo - Moshi ambapo walikua na harambee ya ujenzi wa kanisa, na mgeni rasmi alitegemewa kuwa Mbunge wa Hai, Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mh. Freeman Haikaeli Mbowe.
Lakini cha kushangaza, Mh. Mbowe hakuweza kuhudhuria harambee hiyo pamoja na kukubali kuwa mgeni rasmi tangu awali, na taarifa nilizopata ni kwamba Mh. Mbowe alitoa taarifa ya kutokuhudhuria siku moja kabla ya harambee bila hata ya kutuma muwakilishi.
Kwa kweli katika hili Mwenyekiti wangu ameni let down sana as I always believe that he is a man of his words!!
Waliomualika walikosea, walitakiwa kumualika Lowassa
 
hapakuwa na haja ya kukubali kama alijua haji halafu kama alipata udhuru ghafla si angetuma muwakilishi? Kwa nini aliwaacha watu waliokua wanamtarajia njia panda?
hivi angepataje muwakilishi ili hali alijiandaa mwenyewe kuja na akapata dharura, waandaaji hawajalalamika kwa vile walikuwa na plan b
 
hapakuwa na haja ya kukubali kama alijua haji halafu kama alipata udhuru ghafla si angetuma muwakilishi? Kwa nini aliwaacha watu waliokua wanamtarajia njia panda?

kutuma mwakili ni option ya pili na si lazima aichague, kutoa taarifa inaweza kuwa option pekee plausible kwake.Hakupenda worngo presentation.Kwani aliitwa kama nani, kama aliitwa kama mlutheri, au kama mbunge mmojawapo ya wana Dayosisi, basi ni ngumu kupata mwakilishi, kama aliitwa M/K wa CDM anaweza kuwa na option nyingine ila pia isiwe chaguo kama Ratiba za watu wenye kuweza wakilisha ktk mazingira hayo haikuwa upande wao.
 
Babu Asprini heshima kwako.
Hivi mtu aliyekubali awali halafu anakujulisha Jumamosi kwamba hataweza kuhudhuria hiyo harambe ya Jumapili unamchukuliaje?
Unaweza kweli ukampata mgeni rasmi mwingine ndani ya muda huo. Try to be objective babu!

Mambo yanayohusisha binadamu lazima kuwe na Plan B mkuu. Binadamu wakati wowote ule chochote chaweza kumtokea. Shughuli kubwa kama hiyo Plan B muhimu mkuu.

BTW sababu za Mbowe kushindwa kufika hazikueleweka au hazina mashiko?
 
....mfano alialikwa baba askofu Martine Shao kushiriki kwenye harambee lakini kutokana na kubanwa na majukumu alimtuma askofu mmojawapo wa dayosisi amwakilishe.....
1. Wewe sio mlutheri
2. Hii habari hata kama ni kweli utakuwa umesimuliwa na aliyekusimulia hukumwelewa sawasawa
3. Dayosisi huwa na askofu mmoja tu na nivigumu sana kwa askofu wa dayosisi kumpata askofu wa dayosisi nyingine KUMTUMA akamwakilishe kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa in absence ya askofu mwenyeji. Jipange upya dogo
 
achane kutetea ujinga, mtu akifanya vibaya aongelewe kwa ubaya wake, msilete ushabiki wa kitoto hadi mnajisifu kwa kutukana. Huyu jamaa ni kiongozi wa Nchi lazima atimize alichokubali kukifanya
 
achane kutetea ujinga, mtu akifanya vibaya aongelewe kwa ubaya wake, msilete ushabiki wa kitoto hadi mnajisifu kwa kutukana. Huyu jamaa ni kiongozi wa Nchi lazima atimize alichokubali kukifanya

Nini maana ya Udhuru?
 
1. Wewe sio mlutheri
2. Hii habari hata kama ni kweli utakuwa umesimuliwa na aliyekusimulia hukumwelewa sawasawa
3. Dayosisi huwa na askofu mmoja tu na nivigumu sana kwa askofu wa dayosisi kumpata askofu wa dayosisi nyingine KUMTUMA akamwakilishe kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa in absence ya askofu mwenyeji. Jipange upya dogo

Hujui kwamba pale dayosisi kuna maaskofu wawili wanaosaidianaga na askofu mkuu? Ngoja niwaulize wanaofahamu jina la askofu alokuja nitakwambia mkuu.
By the way mimi nilialikwa kama Mbowe, usharika wangu ni Kijitonyama mkuu.
Turudi kwenye topic, tunazungumzia Mbowe kukacha harambee!!
 
Mambo yanayohusisha binadamu lazima kuwe na Plan B mkuu. Binadamu wakati wowote ule chochote chaweza kumtokea. Shughuli kubwa kama hiyo Plan B muhimu mkuu.

BTW sababu za Mbowe kushindwa kufika hazikueleweka au hazina mashiko?

Kwangu sina shia na udhuru nina shida na timing. Watu wanamtegemea halafu masaa machache kabla ya shughuli ndio anatoa udhuru?
Hivi hakujisikia hata deni moyoni kuwalet down watu waliojipanga toka July?!
 
Jamani Chilli, harambee lakini harambee siimefanyika?
I hpoe Mbowe atatuma mchango wake, wala usihofu
 
Hujui kwamba pale dayosisi kuna maaskofu wawili wanaosaidianaga na askofu mkuu? Ngoja niwaulize wanaofahamu jina la askofu alokuja nitakwambia mkuu.
By the way mimi nilialikwa kama Mbowe, usharika wangu ni Kijitonyama mkuu.
Turudi kwenye topic, tunazungumzia Mbowe kukacha harambee!!

Hakujawahi kutokea Dayosisi moja ikawa na askofu zaidi ya mmoja. Msaidizi sawa lakini msaidizi sio Askofu ni msaidizi tu. Askofu ni KOFIA, FIMBO na PETE
 
Dharura hiyo wachaga muelewe,mlishapiga hesabu ya milioni kadhaa hapo kidume kasepa hahahahaaa poleni
 
Jamani Chilli, harambee lakini harambee siimefanyika?
I hpoe Mbowe atatuma mchango wake, wala usihofu

Pamoja na hayo mkuu ram, inabidi hawa viongozi wetu wajifunze kuheshimu muda wa watu.
 
Poleni sana itabidi aje kuwaomba Msamaha na aseme kwa nini ameingia mitini,kama alikuwa ana hela ya kuchangia si angemwambia Tajiri Lowasa amkopeshe, alf c tungechanga hela za m4c angemrudishia!
 
Mbowe yuko busy sanaa,ukipewa ubusy wakewewe kichwa chapanz utanok,na kwatanzania hii anaeielewa tanzania vizur ni mbowe na jembe dr.
 
Back
Top Bottom