Maalim Seif alianza hivi hivi lohakiongea nchini marekani mwenyekiti wa chadema mh freeman mbowe ameisifu serikali ya ccm kwa kukuza demokrasia nchini, gazeti la mtanzania la leo.
Hawa CUF wanapenda sana kuisifu CCM ,cjui ndoa yao itaisha lini ?
Umeona eeh?? polepole tu mpaka wataingia chumbaniMaalim Seif alianza hivi hivi loh
akiongea nchini marekani mwenyekiti wa chadema mh freeman mbowe ameisifu serikali ya ccm kwa kukuza demokrasia nchini, gazeti la mtanzania la leo.
2015!!kama ccm watateua mgombea wa urais mkristo.
Umeona eeh?? polepole tu mpaka wataingia chumbani
Hawa CUF wanapenda sana kuisifu CCM ,cjui ndoa yao itaisha lini ?
Bado hajarudi tu ... Anafanya shopping ya ma flat screen nini .?
Atarudi lini au mpaka apige picha na kina 50 Cent?