Mbowe ageuka "Kiinyonga"

CUF Ngangari

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
273
51
ATETEA WAWEKEZAJI UTALII WAKATI ALIWAKATAA KADCO, MAMA KILANGO ACHACHAMALIA WENYE MAHOTELI.

Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai Freeman Mbowe (chadema) amegeuka 'kinyonga'.

Mbowe aligeuka kinyonga jana kwa kuwatetea wawekezaji wakati akitetea maslahi ya Mlima Kilimanjaro ambako ndiko asili ya kwao. Mbowe alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya maliasili na utalii ya mwaka 2011/2012 akiwa ametangaza MASLAHI YA BIASHARA YAKE YA UTALII PIA.

Mbowe ambaye ana hoteli ya kitalii kwao Moshi, alisema hali ya uchafu wa kinyesi inahatarisha afya watu wanaotunza mlima huo. Hatua ya Mbowe kuwafagilia wawekezaji katika sekta ya utalíi ilipokelewa kwa hisia tofauti na wananchi wengi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa bunge katika luninga wakimuona kinyonga. Walimwona kinyonga kwa kupalilia maslahi yake wakati aliwapiga vita wawekezaji katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) akitaka meneja mzungu aliyepo, aondolewe akidai anaitia KADCO hasara.

Mbowe alisisitiza mzungu huyo aondolewe akidai KADCO haitoi gawio katika Halmashauri ya Hai ambako ni jimbo lake la uchaguzi. Ni ukinyonga huo wa kutaka mwekezaji mzungu wa KADCO aondoke akidai wawekezaji hao hawana lolote, lakini mjadala wa jana ulizusha gumzo kuhusu mbowe na kumfanya aonekane kama kinyonga baada ya kuwafagilia wawekezaji wakiwamo wa nje akitaka waje wengi. Alifikia kiasi cha kukariri hutuba ya Baba wa taifa. mwl Julius Nyerere kuhusu uendeshwaji wa raslimali za taifa hasa utalii ya mwaka 1961 alisema ilitolewa siku nne kabla hajazaliwa.

Habari kamili soma JAMBO LEO. la 18 agosti 2011
 
ATETEA WAWEKEZAJI UTALII WAKATI ALIWAKATAA KADCO, MAMA KILANGO ACHACHAMALIA WENYE MAHOTELI.

Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai Freeman Mbowe (chadema) amegeuka 'kinyonga'.

Mbowe aligeuka kinyonga jana kwa kuwatetea wawekezaji wakati akitetea maslahi ya Mlima Kilimanjaro ambako ndiko asili ya kwao. Mbowe alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya maliasili na utalii ya mwaka 2011/2012 akiwa ametangaza MASLAHI YA BIASHARA YAKE YA UTALII PIA.

Mbowe ambaye ana hoteli ya kitalii kwao Moshi, alisema hali ya uchafu wa kinyesi inahatarisha afya watu wanaotunza mlima huo. Hatua ya Mbowe kuwafagilia wawekezaji katika sekta ya utalíi ilipokelewa kwa hisia tofauti na wananchi wengi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa bunge katika luninga wakimuona kinyonga. Walimwona kinyonga kwa kupalilia maslahi yake wakati aliwapiga vita wawekezaji katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) akitaka meneja mzungu aliyepo, aondolewe akidai anaitia KADCO hasara.

Mbowe alisisitiza mzungu huyo aondolewe akidai KADCO haitoi gawio katika Halmashauri ya Hai ambako ni jimbo lake la uchaguzi. Ni ukinyonga huo wa kutaka mwekezaji mzungu wa KADCO aondoke akidai wawekezaji hao hawana lolote, lakini mjadala wa jana ulizusha gumzo kuhusu mbowe na kumfanya aonekane kama kinyonga baada ya kuwafagilia wawekezaji wakiwamo wa nje akitaka waje wengi. Alifikia kiasi cha kukariri hutuba ya Baba wa taifa. mwl Julius Nyerere kuhusu uendeshwaji wa raslimali za taifa hasa utalii ya mwaka 1961 alisema ilitolewa siku nne kabla hajazaliwa.

Habari kamili soma JAMBO LEO. la 18 agosti 2011
Ametangaza maslahi lakini!! sishangai kumbe ninajibizana na JAMBA LEO samahani nilipitiwa RZ1
 
Nawashangaa wanaosema Mbowe kageuka "kinyonga". Suala la kuzagaa kwa kinyesi na uchafu mwingine katika njia za kupandia mlima Kilimanjaro ni la kudhibitiwa haraka. jambo hili si kwa sababu ya watalii lakini ni kwa sababu Mtu ni Afya. Haiwezekani mtu mwenye akili timamu kuchagua kuwa mchafu ili aonekane anawachukia wawekezaji.
Waandishi waandike habari kwa lengo la kutoa elimu yenye tija. Mwandishi anayetetea uchafu anapotosha jamii hasa yenye uelewa mdogo. Acheni kuandika ki-ushabiki.
 
hakuna chama cha kijamaa kwa sasa nchini, tatizo sio wawekezaji bali ni mfumo wa uwekezaji unaoendeshwa na serikali iliyo na mianya mingi ya rushw
 
ATETEA WAWEKEZAJI UTALII WAKATI ALIWAKATAA KADCO, MAMA KILANGO ACHACHAMALIA WENYE MAHOTELI.

Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai Freeman Mbowe (chadema) amegeuka 'kinyonga'.

Mbowe aligeuka kinyonga jana kwa kuwatetea wawekezaji wakati akitetea maslahi ya Mlima Kilimanjaro ambako ndiko asili ya kwao. Mbowe alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya maliasili na utalii ya mwaka 2011/2012 akiwa ametangaza MASLAHI YA BIASHARA YAKE YA UTALII PIA.

Mbowe ambaye ana hoteli ya kitalii kwao Moshi, alisema hali ya uchafu wa kinyesi inahatarisha afya watu wanaotunza mlima huo. Hatua ya Mbowe kuwafagilia wawekezaji katika sekta ya utalíi ilipokelewa kwa hisia tofauti na wananchi wengi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa bunge katika luninga wakimuona kinyonga. Walimwona kinyonga kwa kupalilia maslahi yake wakati aliwapiga vita wawekezaji katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) akitaka meneja mzungu aliyepo, aondolewe akidai anaitia KADCO hasara.

Mbowe alisisitiza mzungu huyo aondolewe akidai KADCO haitoi gawio katika Halmashauri ya Hai ambako ni jimbo lake la uchaguzi. Ni ukinyonga huo wa kutaka mwekezaji mzungu wa KADCO aondoke akidai wawekezaji hao hawana lolote, lakini mjadala wa jana ulizusha gumzo kuhusu mbowe na kumfanya aonekane kama kinyonga baada ya kuwafagilia wawekezaji wakiwamo wa nje akitaka waje wengi. Alifikia kiasi cha kukariri hutuba ya Baba wa taifa. mwl Julius Nyerere kuhusu uendeshwaji wa raslimali za taifa hasa utalii ya mwaka 1961 alisema ilitolewa siku nne kabla hajazaliwa.

Habari kamili soma JAMBO LEO. la 18 agosti 2011
umekosa kazi ya kufanya nini?
 
umekosa kazi ya kufanya nini?
<br />
<br />
kama ingekuwa kuangalia magazeti kwa mtazamo huo wa kuangaliwa wamiliki TANZANIA DAIMA lisingesomwa na watu ambao si chadema maana mmiliki wake MBOWE na MWANAHALISI ni ANTHONY KOMU, mkurugenzi wa fedha wa CHADEMA.
 
Kuna uwekezaji mbaya wenye kuleta hasara kwa watanzania na kuna uwekezaji mzur wenye manufaa kwa watanzania. NAKUULIZA WW MLETA MADA KWA UELEWA WAKO NA JINS ULIVYOMSIKILIZA MBOWE (kama ulimsikiliza) JE UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA UTALII UNAHASARA KWA WATANZANIA? taja hasara zenyewe
 
ATETEA WAWEKEZAJI UTALII WAKATI ALIWAKATAA KADCO, MAMA KILANGO ACHACHAMALIA WENYE MAHOTELI.<br />
<br />
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai Freeman Mbowe (chadema) amegeuka 'kinyonga'. <br />
<br />
Mbowe aligeuka kinyonga jana kwa kuwatetea wawekezaji wakati akitetea maslahi ya Mlima Kilimanjaro ambako ndiko asili ya kwao. Mbowe alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya maliasili na utalii ya mwaka 2011/2012 akiwa ametangaza MASLAHI YA BIASHARA YAKE YA UTALII PIA. <br />
<br />
Mbowe ambaye ana hoteli ya kitalii kwao Moshi, alisema hali ya uchafu wa kinyesi inahatarisha afya watu wanaotunza mlima huo. Hatua ya Mbowe kuwafagilia wawekezaji katika sekta ya utalíi ilipokelewa kwa hisia tofauti na wananchi wengi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa bunge katika luninga wakimuona kinyonga. Walimwona kinyonga kwa kupalilia maslahi yake wakati aliwapiga vita wawekezaji katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) akitaka meneja mzungu aliyepo, aondolewe akidai anaitia KADCO hasara. <br />
<br />
Mbowe alisisitiza mzungu huyo aondolewe akidai KADCO haitoi gawio katika Halmashauri ya Hai ambako ni jimbo lake la uchaguzi. Ni ukinyonga huo wa kutaka mwekezaji mzungu wa KADCO aondoke akidai wawekezaji hao hawana lolote, lakini mjadala wa jana ulizusha gumzo kuhusu mbowe na kumfanya aonekane kama kinyonga baada ya kuwafagilia wawekezaji wakiwamo wa nje akitaka waje wengi. Alifikia kiasi cha kukariri hutuba ya Baba wa taifa. mwl Julius Nyerere kuhusu uendeshwaji wa raslimali za taifa hasa utalii ya mwaka 1961 alisema ilitolewa siku nne kabla hajazaliwa.<br />
<br />
Habari kamili soma JAMBO LEO. la 18 agosti 2011
<br />
PELEKA CHOONI HILO TOILET PAPER LAKO HATULIITAJI SISI.
 
Hii thread ni ya kipuuzi na haina mashiko!

Ukiweka kwenye mizania hoja ya kutetea Mazingira ya Mt Kilimanjaro na wAWEKEZAJI WA KADCO ni vitu viwili tofauti mno!...ni mbingu na ardhi na hakuna justification yoyote hapo!

Kweli Fisadi hana sababu!..Wanatafuta pa kushika hawa!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kama ingekuwa kuangalia magazeti kwa mtazamo huo wa kuangaliwa wamiliki TANZANIA DAIMA lisingesomwa na watu ambao si chadema maana mmiliki wake MBOWE na MWANAHALISI ni ANTHONY KOMU, mkurugenzi wa fedha wa CHADEMA.
na wewe ni wale wale, kuna mtu ameikosoa hiyo habari kwa misingi ya chama? Ni upuuzi mtupu ulioandikwa.
 
ATETEA WAWEKEZAJI UTALII WAKATI ALIWAKATAA KADCO, MAMA KILANGO ACHACHAMALIA WENYE MAHOTELI.

Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai Freeman Mbowe (chadema) amegeuka 'kinyonga'.

Mbowe aligeuka kinyonga jana kwa kuwatetea wawekezaji wakati akitetea maslahi ya Mlima Kilimanjaro ambako ndiko asili ya kwao. Mbowe alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya maliasili na utalii ya mwaka 2011/2012 akiwa ametangaza MASLAHI YA BIASHARA YAKE YA UTALII PIA.

Mbowe ambaye ana hoteli ya kitalii kwao Moshi, alisema hali ya uchafu wa kinyesi inahatarisha afya watu wanaotunza mlima huo. Hatua ya Mbowe kuwafagilia wawekezaji katika sekta ya utalíi ilipokelewa kwa hisia tofauti na wananchi wengi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa bunge katika luninga wakimuona kinyonga. Walimwona kinyonga kwa kupalilia maslahi yake wakati aliwapiga vita wawekezaji katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) akitaka meneja mzungu aliyepo, aondolewe akidai anaitia KADCO hasara.

Mbowe alisisitiza mzungu huyo aondolewe akidai KADCO haitoi gawio katika Halmashauri ya Hai ambako ni jimbo lake la uchaguzi. Ni ukinyonga huo wa kutaka mwekezaji mzungu wa KADCO aondoke akidai wawekezaji hao hawana lolote, lakini mjadala wa jana ulizusha gumzo kuhusu mbowe na kumfanya aonekane kama kinyonga baada ya kuwafagilia wawekezaji wakiwamo wa nje akitaka waje wengi. Alifikia kiasi cha kukariri hutuba ya Baba wa taifa. mwl Julius Nyerere kuhusu uendeshwaji wa raslimali za taifa hasa utalii ya mwaka 1961 alisema ilitolewa siku nne kabla hajazaliwa.

Habari kamili soma JAMBO LEO. la 18 agosti 2011

Hapo kwenye red, umefanya utafiti au unatuletea mtazamo wako wewe na wa mwandishi wa hiyo habari,???? avoid biasness
 
kama ingekuwa kuangalia magazeti kwa mtazamo huo wa kuangaliwa wamiliki TANZANIA DAIMA lisingesomwa na watu ambao si chadema maana mmiliki wake MBOWE na MWANAHALISI ni ANTHONY KOMU, mkurugenzi wa fedha wa CHADEMA.

Tatizo sio mmiliki, tatizo ni content. Hamna mtu anaechukia uwekezaji, hata USA bado inatafuta wawekezaji ili kusisimua uchumi wake. Lakini tusichotaka ni uwekezaji wa kifisadi kama ule wa KIA.

Kwa Mbowe kupinga wawekezaji wa KIA huku akisifia wengine huwezi kumwita kinyonga. Ndipo linapokuja swala la content ya gazeti.
 
sasa si bora asihudhurie vikao ambavyo hana interest navyo? Maana kwa kufanya hivyo hapokei posho isiyo na msingi.
Vijana wa Hai tunafaidika kutokana na mlima Kilimanjaro ila KADCO hata vibarua hatupati.
Na hao wananchi waliokuwa wanamshangaa ni wa jimbo gani.
Na swali la msingi huyo muandishi aliwakuta wapi hao watu? Majumbani au bar? Kama ni bar walikuwa na akili timamu au walevi? Ninavyojua hapa tz hakuna public tvs ambako mwandishi atapata mkusanyiko wa watu unless atatuambia ni ofisini kwao.
 
kama ingekuwa kuangalia magazeti kwa mtazamo huo wa kuangaliwa wamiliki TANZANIA DAIMA lisingesomwa na watu ambao si chadema maana mmiliki wake MBOWE na MWANAHALISI ni ANTHONY KOMU

seo4.jpg
signature.jpg

xiaoliu3.jpg
 
nchi hii hakuna si watawala wala wapinzani wote wapo katika maslahi binafsi.
<br />
<br />

Natambua umetumia neno 'nchi hii'. Hata wewe sio mpinzani wala mtawala. Upo kwa maslahi binafsi unless kama hauko nchi hii. Kwa maelezo yako wewe na mimi si wapinzani wala watawala. Ni vyema basi wewe ukaanza kuwa mpinzani au mtawala asiye na maslahi binafsi!
 
Back
Top Bottom