Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,304
- 2,080
Nilipoona kichwa cha habari nilishutuka
Mie kidogo nizimie
Nilipoona kichwa cha habari nilishutuka
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
aah hana lolote huyo siku zake zimebakia tatu tu
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
Hizo sio tetesi kwani Mbowe alishinda tayari alipochukua fomu ya kugombea. Huku Hai alihitaji kufanya mikutano 10 tu ya kujitambulisha kuwa anagombea,haitaji kufanya kampeni zaidi kwani kazi aliyofanya 2000-2005 ni kampeni tosha na hayajasahaulika. Kama ilivyo kwa Zitto hali ni hiyo kwa Ndesamburo wa Moshi mjini. Hadi sasa tuna wabunge watatu kabla ya uchaguzi. Bado siku tatu tu watangazwe.Sijawaongelea kina Sugu, Lema wa Arusha, Slaa wa Karatu,Mdee,Shibuda,Mrema wa Vunjo,Mnyika na wengine ambao ushindi uko dhahiri.
Pipoooooooooooooozi.....