njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Jamni mbona wenzake wanajua ku balance mapenzi yao ya simba na yanga inapokuja issue ya team nyingine? Ibrahim maestro alishawahi kuwa hadi kuwa kiongozi wa simba lakini hajafikia level ya kutengenza mastory ya uongo kuhusu yanga na kuchochea migogoro, hata Geoff Lea anajulikana ni simba, Jemedari ni yanga, Tunu Hassan ni yanga ila huyu takataka kwa kweli is too much ni mwana utopolo mwenye chuki kali kwa Simba.
Ukimsikia redioni utadhani kama mtu vile wakikaa ku-discuss maendeleo ya mpira Tanzania na kujifanya wana uchungu unaweza waamini lakini simba walichokifanya kwa miaka minne kimekuwa chanzo cha chuki kali wanatamani hata wakalipue kambi ya simba au hata ndege iliyowabeba simba ianguke wafe.
Hili jitu sijui likoje kwa kweli, ndiyo maana Manara alilitisha kutoboa ukweli kuhusu yanayofanyika kwenye safari zake zisizoisha huko marekani, embu angalia hii tweet hapa chini achana na hiyo ya juu aliyo re-Tweet ya takataka mwenzake wanayesafiri naye mara kwa mara wakijipongeza kwa UJUHA wao.
Tusisahau pia manara aliongeleag kuhusu hirizi iliyoangushwa pale redio one na Mr takataka.
Ukimsikia redioni utadhani kama mtu vile wakikaa ku-discuss maendeleo ya mpira Tanzania na kujifanya wana uchungu unaweza waamini lakini simba walichokifanya kwa miaka minne kimekuwa chanzo cha chuki kali wanatamani hata wakalipue kambi ya simba au hata ndege iliyowabeba simba ianguke wafe.
Hili jitu sijui likoje kwa kweli, ndiyo maana Manara alilitisha kutoboa ukweli kuhusu yanayofanyika kwenye safari zake zisizoisha huko marekani, embu angalia hii tweet hapa chini achana na hiyo ya juu aliyo re-Tweet ya takataka mwenzake wanayesafiri naye mara kwa mara wakijipongeza kwa UJUHA wao.
Tusisahau pia manara aliongeleag kuhusu hirizi iliyoangushwa pale redio one na Mr takataka.