Mbona wameachana

Mbona wameachana

Mtu B

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
919
Reaction score
53
Ex-GF wangu alipoolewa mwaka 2010 desemba nilileta thread hii hapa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/94798-ex-gf-wangu-kaolewa-jana.html.


Watu walininanga na kunisuta sana eti ni wivu unanisumbua. Walionielewa ni wachache sana. Juzi tuesday nimekutana naye kaniambia wameachana, tena kwa talaka kabisa ya mahakamani.

Jamani muwe mnakubali tu kuwa kuna ukaribu fulani ukishakuwa nao na mtu wako, basi hata kwa hisia tu unaweza kujua kinachomfaa na kisichomfaa.

Mimi nilipokuwa naye sikuwahi kumuuliza size ya kiatu au ya bra, nikifika dukani nikitazama tu naona hiki kitamtoa na kweli hata mwenyewe alikuwa anashangaa. Nilijua hisia zake na taste yake, yaani kwa karibu kila kitu.

Anyway, yaliyopita yamepita. She is happy with her child and professional life, kiuchumi pia yuko vizuri. Mimi pia bado niponipo.

Kuna waliotabiri kuwa ningeleta thread nyingine kumhusu, basi utabiri wao umetimia.
 
hongera zake ana move on,,,pole yako kwakua sheikh yahaya wake..lol
 
mkuu ilikuuma na bado inakuuma duuu pole sana
 
Hizi ndoa za siku hizi...bora kuzaa tu na kulea kimalaika.
ndoa walikufa nazo babu na bibi zetu
 
Ex-GF wangu alipoolewa mwaka 2010 desemba nilileta thread hii hapa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/94798-ex-gf-wangu-kaolewa-jana.html.
Watu walininanga na kunisuta sana eti ni wivu unanisumbua. Walionielewa ni wachache sana.

Juzi tuesday nimekutana naye kaniambia wameachana, tena kwa talaka kabisa ya mahakamani.

Jamani muwe mnakubali tu kuwa kuna ukaribu fulani ukishakuwa nao na mtu wako, basi hata kwa hisia tu unaweza kujua kinachomfaa na kisichomfaa.

Mimi nilipokuwa naye sikuwahi kumuuliza size ya kiatu au ya bra, nikifika dukani nikitazama tu naona hiki kitamtoa na kweli hata mwenyewe alikuwa anashangaa. Nilijua hisia zake na taste yake, yaani kwa karibu kila kitu.

Anyway, yaliyopita yamepita. She is happy with her child and professional life, kiuchumi pia yuko vizuri. Mimi pia bado niponipo.

Kuna waliotabiri kuwa ningeleta thread nyingine kumhusu, basi utabiri wao umetimia.

kwahyo ww unatuletea takataka hii ili tufanyeje?? Nenda kamchukue sasa. Usikute ww mwenyewe ndio chanzo cha kutengana. Maandazi kweli ww
 
kwahyo ww unatuletea takataka hii ili tufanyeje?? Nenda kamchukue sasa. Usikute ww mwenyewe ndio chanzo cha kutengana. Maandazi kweli ww

Pole mzaz kama limekuuma.
 
Hilo ndo ulikuwa unalisubiri waachane ili urudi janvini kueleza furaha yako? pole sioni kama utapata faida yoyote na kuachana kwao,wewe hukutaka kumuoa mpaka akaolewa unafuatilia ya nini maisha yake mpaka muda huu?.Jaribu kumsogelea sasa hivyi lile jamaa litajua ndo wewe ulikuwa unamtia kiburi na utajua kilicho mkunja mbwa mkia.

Eti kiuchumi mwanamke yuko vizuri! uchumi mzuri ndo iwe kigezo cha kuachana na mmewe ulimbukeni,watu wanaolewa na maskini akiacha kwao utajiri wa kutisha unafikiri wanafuata nini?......Nakuchukia kuachana asema Bwana.

 
Back
Top Bottom