Mbona walinzi wa viongozi Bara la Afrika wana vitambi?

Top gun maverick

JF-Expert Member
Dec 10, 2017
2,020
2,601
HABARI wana jukwaa natumai watu ni wazima wa afya na mko tiyari kabisa kuchagua kiongozi bora kwa manufaa ya Taifa letu la uchumi wa kati.

Bila kuwachosha naenda to the main topic on hand nimekuwa nikifuatilia walinzi wa maraisi mbali mbali duniani haswa bara la Afrika maana nami nina ndoto ya kuja kuwa mmoja wa walinzi wa rais in future.

Licha ya kuwa wamepewa mafunzo ya hali ya juu, lakini sijui kwanini wanakuwa vitambi maana Enzi za Adolf Hitler alikuwa anachukia sana askari mwenye kitambi ni dalili ya aina fulani ya weaknesses.

Maana ukiangalia viongozi wa rais wa china, Marekani ni very slim yaan wako na ile fitness ya hali juu. Nikibahatika kuwa mlinzi wa kiongozi sitokuwa na kitambi na nitahakikisha askari wote hawana vitambi.

images (1) (3).jpeg
 
Maana ukiangalia viongozi wa rais wa china, Marekani ni very slim yaan wako na ile fitness ya hali juu. Nikibahatika kuwa mlinzi wa kiongozi sitokuwa na kitambi na nitahakikisha askari wote hawana vitambi.
Hawa hawana bitambi kwakuwa ni watoto
 
Unachosema ni sahihi lkn kuna utofauti kati yao. Mfano mlinzi wa raisi JMT yule anaevaa mavazi ya kijeshi ni yuko fiti sababu alikotokea kila siku ni mazoezi tosha kulingana na ratiba za kijeshi zilivyo.

Tofauti na hao usalama wa taifa hawa hupewa mafunzo na namna ya kukabiliana na hali za hatari lakini kulingana na majukumu yao nadhani hawaoni umuhimu huo.
 
Unachosema ni sahihi lkn kuna utofauti kati yao. Mfano mlinzi wa raisi JMT yule anaevaa mavazi ya kijeshi ni yuko fiti sababu alikotokea kila siku ni mazoezi tosha kulingana na ratiba za kijeshi zilivyo. Tofauti na hao usalama wa taifa hawa hupewa mafunzo na namna ya kukabiliana na hali za hatari lakini kulingana na majukumu yao nadhani hawaoni umuhimu huo.
Mkuu
Kuna wanajeshi wanavitambi mpaka unaweza kuogopa.. Sema labda hujakutana nao.
 
Unachosema ni sahihi lkn kuna utofauti kati yao. Mfano mlinzi wa raisi JMT yule anaevaa mavazi ya kijeshi ni yuko fiti sababu alikotokea kila siku ni mazoezi tosha kulingana na ratiba za kijeshi zilivyo.

Tofauti na hao usalama wa taifa hawa hupewa mafunzo na namna ya kukabiliana na hali za hatari lakini kulingana na majukumu yao nadhani hawaoni umuhimu huo.
Yule sio mlinzi ni AID DE CAMP mpambe yaani wa rais
 
Sijui mtakuja kuelewa lini kuwa ADC sio Mlinzi
Unachosema ni sahihi lkn kuna utofauti kati yao. Mfano mlinzi wa raisi JMT yule anaevaa mavazi ya kijeshi ni yuko fiti sababu alikotokea kila siku ni mazoezi tosha kulingana na ratiba za kijeshi zilivyo.

Tofauti na hao usalama wa taifa hawa hupewa mafunzo na namna ya kukabiliana na hali za hatari lakini kulingana na majukumu yao nadhani hawaoni umuhimu huo.
 
Back
Top Bottom