Makindi N
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 1,066
- 173
Bongo nzuri bana, ukiwaa na ngozi nyeupe au nyeusi mjanja mjanja............ hata km huna hata TSh moja........ uta-make na kuondoka zako milionea/bilionea, huku ukimsikia Membe anasema tunataka uraia wa nchi mbili (dual citizenship) ili remittances ziongezeke...... bila kuongelea money trafficking kutoka hapa bongo........... Tanzania tamu bana.......