Mbona vifo tata vimepungua sana!?

Hata Sina kinyongo

Senior Member
May 16, 2020
118
280
Kwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!

Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!

Ndiyo kusema Corona bye-bye!?

Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
 
Back
Top Bottom