MBONA UKI CONFRIM EMPROYER HAKIBADILIKINKITU

MBONA UKI CONFRIM EMPROYER HAKIBADILIKINKITU

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,922
Reaction score
11,314
Kuhusu waliiomba ajira tunaambiwa tu confirm employer lakini nime Fanya ivyo ikaandika submitted ila hakuna kilicho change Bado ni vile vile confirm employer hapo wenye uelewa atueleweshe
 
nafikiri baada ya hizo siku tatu walizotoa ndo kitabadilika kitu, pia naomba na mm nisaidiwe manzoni nilichagua Dodoma na moro ila mimi nipo tabora na statua yangu ilikuja ikionesha mikoa nikiyoiomba awali vipi siwezi itema na kuomba mikoa yote na masomo yote tabora ili kuepusha gharama za usafiri??? Asante.
 
Kuhusu waliiomba ajira tunaambiwa tu confirm employer lakini nime Fanya ivyo ikaandika submitted ila hakuna kilicho change Bado ni vile vile confirm employer hapo wenye uelewa atueleweshe
inabadilika, chagua mkoa kisha bofya kukubali baada ya dakika moja utaona imeandika ule mkoa unaohitaji
 
nafikiri baada ya hizo siku tatu walizotoa ndo kitabadilika kitu, pia naomba na mm nisaidiwe manzoni nilichagua Dodoma na moro ila mimi nipo tabora na statua yangu ilikuja ikionesha mikoa nikiyoiomba awali vipi siwezi itema na kuomba mikoa yote na masomo yote tabora ili kuepusha gharama za usafiri??? Asante.

Unataka upangiwe wapi kituo cha kazi??

Eneo la usaili halihusiani na kituo cha kazi kwa usaili wa mchujo. Kama uko Tabora na unataka ufanyie aptitude Tabora, rekebisha current address isome Tabora ila employer chagua unaetaka upangiwe kituo cha kazi.​
 

Unataka upangiwe wapi kituo cha kazi??

Eneo la usaili halihusiani na kituo cha kazi kwa usaili wa mchujo. Kama uko Tabora na unataka ufanyie aptitude Tabora, rekebisha current address isome Tabora ila employer chagua unaetaka upangiwe kituo cha kazi.​
Mkuu hii ni kwa waalimu au afya
 
Kuhusu waliiomba ajira tunaambiwa tu confirm employer lakini nime Fanya ivyo ikaandika submitted ila hakuna kilicho change Bado ni vile vile confirm employer hapo wenye uelewa atueleweshe
Mwalimu acha mawenge, tulia.

Kama kitu kidogo hvy unashindwa kuelewa, utaweza kumfundisha mwanafunzi akaelewa kweli?
 
Back
Top Bottom